PBZ BANK

PBZ BANK PBZ BANK is one among the oldest commercial banks in Tanzania. It is fully owned by the Government of Zanzibar.

PBZ BANK is the only bank in Tanzania with its head office in Zanzibar. The People’s Bank of Zanzibar Limited (PBZ Bank) is the one of the oldest commercial banks in Tanzania incorporated in 30th June 1966. The Bank does both retail and corporate banking with equipped modern systems that facilitate banking business locally and overseas efficiently. Our motto being "The People's Bank, The People's

Choice", we always thrive in offering the best possible service to to our customers. Come bank with us and realize the real meaning of customer service.

PBZ BANK imekuletea huduma ya LIPA HAPA kwa ajili ya makusanyo ya Sadaka kidijitali.Sasa hakuna haja ya kupitisha kikapu...
05/06/2026

PBZ BANK imekuletea huduma ya LIPA HAPA kwa ajili ya makusanyo ya Sadaka kidijitali.

Sasa hakuna haja ya kupitisha kikapu cha sadaka. Waumini wanaweza kuchangia kwa urahisi na usalama kwa kuscan QR Code au kutumia namba maalum ya malipo ili kutoa sadaka zao popote walipo.
Rahisisha utoaji wa sadaka, ongeza uwazi na ufanisi katika ukusanyaji wa michango.

Karibuni PBZ BANK, mshirika wako wa kidijitali kwa Nyumba za Ibada.

PBZ IKHLAS: "Kwa Faida Halali"



Mwenyekiti wa Kamati ya Ushauri (SAC) wa Kishari'ah ya PBZ IKHLAS Prof. Hamed Rashid Hikmany akimkabidhi Mkurugenzi wa P...
05/06/2026

Mwenyekiti wa Kamati ya Ushauri (SAC) wa Kishari'ah ya PBZ IKHLAS Prof. Hamed Rashid Hikmany akimkabidhi Mkurugenzi wa PBZ IKHLAS mfano wa PBZ LIPA HAPA ambayo itatumika kukusanya michango kwa njia ya kidijitali. Njia rahisi na salama.

PBZ Cash Waqf ni njia ambayo inakuwezesha kutoa michango kupitia akaunti maalumu ambayo sadaka zake ni endelevu na zenye manufaa kwa jamii na vizazi vijavyo.

PBZ IKHLAS: "Kwa Faida Halali"



JUMAA MUBARAK
05/06/2026

JUMAA MUBARAK

Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, ametutembelea katika banda la PBZ w...
04/06/2026

Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, ametutembelea katika banda la PBZ wakati wa Maonesho ya Wawekezaji yanayoendelea katika Hoteli ya Golden Tulip, Zanzibar.

Katika ziara hiyo, Meneja wa Wafanyabiashara Wakubwa, Ndg. Halima Amour alitoa maelezo kuhusu huduma na mchango wa PBZ katika kukuza biashara na uwekezaji Zanzibar. Aidha, alimkabidhi Mhe. Rais zawadi maalum k**a ishara ya shukrani kwa juhudi zake za kufungua milango ya fursa na kuimarisha mazingira bora ya uwekezaji nchini.

PBZ inaendelea kuunga mkono maendeleo ya uchumi kupitia uwekezaji, ubunifu na ushirikiano wenye tija.

PBZ BANK: "Benki ya watu, Chaguo ya watu"


PBZ Bank kwa kushirikiana na Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) wameweka historia mpya kupitia utiaji saini wa Mkata...
04/06/2026

PBZ Bank kwa kushirikiana na Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) wameweka historia mpya kupitia utiaji saini wa Mkataba wa Cash Waqf unaolenga kusaidia upatikanaji wa fedha kwaajili ya elimu kwa vijana wa vyuo vikuu.

Mkataba huo umesainiwa na Mkurugenzi Mwendeshaji wa PBZ Bank, CPA Fahad Soud Hamid, pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB Dkt. Bill Kiwia, ikiwa ni hatua muhimu ya kuwekeza katika maendeleo ya rasilimali watu na mustakabali wa taifa.

Kupitia HESLB Cash Waqf, fursa za elimu zitaendelea kuwafikia vijana wengi zaidi, na hivyo kuchangia kujenga jamii yenye maarifa, uwezo na ustawi wa kudumu.

Elimu ni msingi wa maendeleo. Wekeza katika elimu, tujenge taifa imara.

PBZ IKHLAS: "Kwa Faida Halali"





pbzmiaka60yaUaminifu

WAJA LEO PBZ BANK INAKUSUBIRI TANGA!Tumefungua rasmi Tawi la PBZ Ikhlas Tanga, hatua muhimu ya kusogeza huduma za kifedh...
03/06/2026

WAJA LEO PBZ BANK INAKUSUBIRI TANGA!

Tumefungua rasmi Tawi la PBZ Ikhlas Tanga, hatua muhimu ya kusogeza huduma za kifedha zenye kuzingatia misingi ya Shariah karibu zaidi na wananchi wa Tanga na maeneo jirani.

Hafla hiyo imehudhuriwa na Mgeni Rasmi Mheshimiwa Hamis Mwinjuma, Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, pamoja na viongozi mbalimbali, huku mwenyeji akiwa Mkurugenzi Mwendeshaji wa PBZ Bank, CPA Fahad Soud Hamid na viongozi mbali mbali kutoka PBZ Bank

Tunawakaribisha wananchi, wafanyabiashara, wajasiriamali na taasisi mbalimbali kutembelea tawi letu jipya na kujionea huduma bora za kibenki zinazolenga kukuza maendeleo ya kiuchumi kwa wote.

PBZ IKHLAS: “Kwa Faida Halali”



Mabalozi wa Tanzania waendelea kuonesha imani yao kwa PBZ Bank.Leo tumepata heshima ya kutembelewa na Balozi wa Tanzania...
03/06/2026

Mabalozi wa Tanzania waendelea kuonesha imani yao kwa PBZ Bank.

Leo tumepata heshima ya kutembelewa na Balozi wa Tanzania nchini Uingereza pamoja na Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani katika banda la PBZ Bank kwenye Maonesho ya Wawekezaji yanayoendelea katika eneo la Golden Tulip Airport.

Tunawakaribisha wawekezaji, wafanyabiashara, wajasiriamali na wananchi wote kutembelea banda letu ili kupata maelezo kuhusu huduma mbalimbali za benki, ikiwemo mikopo ya biashara, huduma za kidijitali na fursa za uwezeshaji wa biashara zinazolenga kukuza uchumi na mafanikio ya wateja wetu.

PBZ BANK: "Benki ya Watu, Chaguo la Watu"




PBZ BANK TANGA!!SASA TUMEWAFIKIA!Wananchi wa Tanga na maeneo ya jirani, sasa huduma bora za kibenki zipo karibu zaidi na...
03/06/2026

PBZ BANK TANGA!!
SASA TUMEWAFIKIA!
Wananchi wa Tanga na maeneo ya jirani, sasa huduma bora za kibenki zipo karibu zaidi nawe. Tembelea tawi letu jipya lililopo Barabara ya Independent Avenue, Jengo la Posta na ujionee urahisi, usalama na ubora wa huduma za PBZ Bank.

Katika tawi hili utapata huduma mbalimbali zikiwemo:

✅ Kufungua Akaunti za Akiba na Biashara
✅ Akaunti za PBZ Ikhlas zinazozingatia misingi ya Sharia
✅ Uwezeshwaji wa Wafanyakazi, Wafanyabiashara na Taasisi
✅ Huduma za PBZ Mobile App na Internet Banking
✅ Kadi za Visa na huduma za ATM
✅ Uhamishaji wa fedha ndani na nje ya nchi
✅ Huduma za Bima kupitia PBZ Bank
✅ Huduma za Lipa Hapa kwa wafanyabiashara
✅ Ushauri wa kifedha na uwekezaji

Karibu PBZ Bank Tanga na uwe sehemu ya benki inayoweka mahitaji ya wateja mbele.

PBZ IKHLAS:"Kwa Faida Halali"

Karibu katika Uzinduzi Rasmi wa Tawi la PBZ Bank Tanga!Ikiwa ni sehemu ya shamra shamra za maadhimisho ya Miaka 60 ya Ua...
03/06/2026

Karibu katika Uzinduzi Rasmi wa Tawi la PBZ Bank Tanga!

Ikiwa ni sehemu ya shamra shamra za maadhimisho ya Miaka 60 ya Uaminifu, tangu kuanzishwa kwa PBZ Bank tarehe 30 Juni 1966,

Karibu ushiriki nasi katika uzinduzi wa tawi jipya la PBZ Bank Tangaa
Tarehe 03 Juni 2026 katika Ukumbi wa Kiboko, Tanga

Tawi hili litatoa huduma mbalimbali za kifedha chini ya mfumo wa PBZ IKHLAS, zenye kuzingatia misingi ya sharia'h za Kiislamu na manufaa halali kwa wateja wetu.

PBZ IKHLAS: Kwa Faida Halali

Linda chombo chako cha moto, linda amani yako ya moyo Kupitia PBZ Bank, sasa unaweza kukata BIMA ya chombo cha moto kwa ...
01/06/2026

Linda chombo chako cha moto, linda amani yako ya moyo

Kupitia PBZ Bank, sasa unaweza kukata BIMA ya chombo cha moto kwa urahisi zaidi katika tawi lolote la PBZ Bank.

Safari zako ziwe salama kila siku ukiwa na uhakika wa ulinzi wa kuaminika.

PBZ Bank:"Benki ya watu, chaguo la watu"

Address

ZIC Building, Mpirani
Zanzibar
1173

Opening Hours

Monday 08:30 - 16:30
Tuesday 08:30 - 16:30
Wednesday 08:30 - 16:30
Thursday 08:30 - 16:30
Friday 08:30 - 15:30
Saturday 08:30 - 12:30

Telephone

+255800000004

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when PBZ BANK posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to PBZ BANK:

Share