PBZ BANK

PBZ BANK PBZ BANK is one among the oldest commercial banks in Tanzania. It is fully owned by the Government of Zanzibar.

PBZ BANK is the only bank in Tanzania with its head office in Zanzibar. The People’s Bank of Zanzibar Limited (PBZ Bank) is the one of the oldest commercial banks in Tanzania incorporated in 30th June 1966. The Bank does both retail and corporate banking with equipped modern systems that facilitate banking business locally and overseas efficiently. Our motto being "The People's Bank, The People's

Choice", we always thrive in offering the best possible service to to our customers. Come bank with us and realize the real meaning of customer service.

PBZ Bank tunawatakia Watanzania wote Heri ya Miaka 62 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.Tuendelee kuuenzi, kuulinda ...
26/04/2026

PBZ Bank tunawatakia Watanzania wote Heri ya Miaka 62 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Tuendelee kuuenzi, kuulinda na kuudumisha Muungano wetu kwa mshikamano na uzalendo, ili kujenga Tanzania imara, yenye umoja na maendeleo ya kiuchumi kwa wote.

PBZ Bank:"Benki ya Watu, Chaguo la Watu"

Jumaa Mubarak
24/04/2026

Jumaa Mubarak

Pata suluhisho la kifedha linaloendana na malengo yako!Pata Mikopo ya Watumishi kutoka PBZ Bank, itakayokuwezesha kufiki...
23/04/2026

Pata suluhisho la kifedha linaloendana na malengo yako!

Pata Mikopo ya Watumishi kutoka PBZ Bank, itakayokuwezesha kufikia ndoto zako kwa urahisi zaidi yenye marejesho hadi miaka 10 na riba nafuu kuanzia 14% tu.

PBZ BANK: "Benki ya watu, Chaguo la watu"

19/04/2026

PBZ BANK tumeonesha tena dhamira yetu ya kugusa maisha ya jamii,
Baada ya tukio la kuungua kwa mabweni katika Skuli ya Fidel Castro, tumejitokeza kwa haraka kutoa msaada wa magodoro yatakayowasaidia wanafunzi kurejea katika hali yao ya kawaida ili kuendelea kufanya vizuri katika masomo yao.

PBZ Bank tumekuwa taasisi ya kwanza kufikisha msaada huu, tukiamini kuwa pamoja tunaweza kurejesha matumaini pale yanapohitajika zaidi.

PBZ BANK: "Benki ya Watu, Chaguo la Watu"


Tunapenda kuwajulisha waombaji wote wa kazi za Sales kutoka PBZ kwamba, kutokana na changamoto iliyojitokeza kwenye mfum...
16/04/2026

Tunapenda kuwajulisha waombaji wote wa kazi za Sales kutoka PBZ kwamba, kutokana na changamoto iliyojitokeza kwenye mfumo wetu wa kawaida wa kupokea maombi, tumelazimika kuleta mbadala wa kupokea maombi ili kuhakikisha kila mmoja anapata fursa ya kuwasilisha maombi yake bila usumbufu.

Kwa sasa, unaweza kutuma maombi yako kupitia barua pepe [email protected]

Tafadhali hakikisha unaambatanisha nyaraka zote muhimu na kuzingatia maelekezo yaliyotolewa katika nakala yetu

PBZ BANK-"Benki ya watu, Chaguo la watu"

Hii ndio maana halisi ya fursa kedekede. PBZ Bank tunakuletea mkopo wa wafanyakazi kwa masharti nafuu hadi miaka 10.Timi...
15/04/2026

Hii ndio maana halisi ya fursa kedekede.
PBZ Bank tunakuletea mkopo wa wafanyakazi kwa masharti nafuu hadi miaka 10.

Timiza ndoto zako leo, anza safari yako ya mafanikio sasa!

PBZ BANK – Benki ya watu, Chaguo la watu



Benki ya Watu wa Zanzibar Limited (PBZ Bank) inatangaza nafasi za kazi nafasi ya Afisa mauzo (Sales Officers).Unaweza ku...
14/04/2026

Benki ya Watu wa Zanzibar Limited (PBZ Bank) inatangaza nafasi za kazi nafasi ya Afisa mauzo (Sales Officers).

Unaweza kuomba nafasi hizi kupitia;

1. Tovuti ya PBZ ambayo ni www.pbzbank.co.tz

2. Unaweza kuwasilisha maombi haya katika tawi lolote lililo karibu nawe

3. Pia unaweza kuwasilisha maombi haya kwa kubonyeza link katika bio

Aidha, Barua za maombi zianishe anuani ifuatayo:
MKURUGENZI MWENDESHAJI, BENKI YA WATU WA ZANZIBAR, ZANZIBAR.

Waombaji wote wanatakiwa kuwasilisha:
▪ Barua ya maombi ya kazi,
▪ Wasifu binafsi (CV),
▪ Nakala za vyeti vya taaluma, na ▪ Nakala ya Cheti cha kuzaliwa.
▪ Nakala ya Vitambulisho vya Taifa (ZANID/NIDA)

Uombaji wa nafasi hizi ni kuanzia tarehe 13 Aprili, 2026 hadi 17 Aprili, 2026

PBZ Bank: "Benki ya Watu, Chaguo la Watu"


Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Wafanyakazi wote wa PBZ Bank Tunatoa Pongezi kwa Ndg. Juma Hassan Juma Reli  kwa kut...
13/04/2026

Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Wafanyakazi wote wa PBZ Bank Tunatoa Pongezi kwa Ndg. Juma Hassan Juma Reli kwa kuteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya Watu wa Zanzibar

PBZ Bank tunakutakia kila la kheri katika utekelezaji wa majukumu yako na tunaahidi kuwa na wewe bega kwa bega katika kuleta Maendeleo chanya ndani ya PBZ na Taifa kwa ujumla

PBZ Bank: "Benki ya watu, Chaguo la watu"

Mkurugenzi Mwendeshaji wa PBZ Bank, CPA. Fahad Soud Hamid, ameongea na Waandishi wa Habari leo makao makuu ya PBZ BANK.A...
10/04/2026

Mkurugenzi Mwendeshaji wa PBZ Bank, CPA. Fahad Soud Hamid, ameongea na Waandishi wa Habari leo makao makuu ya PBZ BANK.

Ameeleza kuwa benki imeendelea kukua kwa kasi, ikifikia rasilimali za trilioni 2.75 mwaka 2025 kutoka trilioni 2.5 mwaka 2024.

Ukuaji huu umechochea kuongezeka kwa mikopo na uwezeshaji hadi trilioni 1.55 pamoja na faida kabla ya kodi kufikia bilioni 110.2.

PBZ inaendelea kuwa nguzo imara ya maendeleo ya uchumi wa Zanzibar na Tanzania kwa ujumla kupitia huduma bora, bunifu na jumuishi kwa wananchi.

PBZ BANK-"Benki ya watu, Chaguo la watu"

Taarifa ya Mkutano wa Mkurugenzi Mwendeshaji PBZ Bank na Waandishi wa Habari.PBZ Bank: "Benki ya Watu, Chaguo la Watu"  ...
09/04/2026

Taarifa ya Mkutano wa Mkurugenzi Mwendeshaji PBZ Bank na Waandishi wa Habari.

PBZ Bank: "Benki ya Watu, Chaguo la Watu"


Address

ZIC Building, Mpirani
Zanzibar
1173

Opening Hours

Monday 08:30 - 16:30
Tuesday 08:30 - 16:30
Wednesday 08:30 - 16:30
Thursday 08:30 - 16:30
Friday 08:30 - 15:30
Saturday 08:30 - 12:30

Telephone

+255800000004

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when PBZ BANK posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to PBZ BANK:

Share