Umoja wa vijana Tanzania

Umoja wa vijana Tanzania ni ukurasa unaojumuisha vijana wa Kitanzania wenye dhamira ya mabadiliko, maendeleo na uzalendo.

Lengo letu ni kushirikiana, kubadilishana maarifa, kutoa fursa, kuhamasisha ubunifu na kuongeza ushiriki wa vijana katika ujenzi wa taifa.

07/03/2024

Kuna wakati moyo hurusu mawazo mabaya yajadiliwe ndani yake.Lakini ashukuriwe Mungu atupaye kushinda.

03/03/2024

Ni ngumu sana kumbadilisha mtu moyo bora kuacha kabla k**a hupendezwi na hiyo hali.

03/03/2024

Mwanamke wa kuolewa asipokuwa ndani ya ndoa huteseka sana maana huwa k**a ndege asiye na kiota .Ila asiyependa ndoa huona raha tu hata asipokuwa na ndoa.Mungu hupenda kuona wawili kuliko mmoja .Shetan hupenda ajitengaye ili ajipatie mawindo

23/02/2024

Kadri ninavyoishi na watu na kuwa karibu yao nazidi kuimalika na kupata Hekima.

Address

Tabora

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Umoja wa vijana Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Umoja wa vijana Tanzania:

Share