Singida Youth Entrepreneurs and Consultants Cooperative Society

Singida Youth Entrepreneurs and Consultants Cooperative Society Singida Youth Entrepreneurs and Consultants Cooperative Society (SYECCOS) is a registered society Re

Aliyekuwa Rais wa wadau wa nyuki(SYECCOS), amesema Nyuki wa Singida wana mgawanyo Mzuri wa kazi ndani ya Mzinga ikiwa Ki...
10/08/2021

Aliyekuwa Rais wa wadau wa nyuki(SYECCOS), amesema Nyuki wa Singida wana mgawanyo Mzuri wa kazi ndani ya Mzinga ikiwa Kiongozi Mkuu anaitwa Malkia, na Wengine nyuki vibarua ambao Wana Wizara ya Ulinzi na Usalama, Wizara ya Afya ambapo Kuna Famasia na Daktari, Wizara ya Viwanda na Biashara ambapo Kuna Nyuki bureau Standards (NBS), Wizara ya Kilimo na Mifugo ambapo wanafuga Hadi baadhi ya Binadamu , wanafamasia, Wizara ya Ajira na Maendeleo ya Jamii pamoja na Wizara ya Misitu na Maji.Ameshauri Wakurugenzi wa makampuni na Taasisi nchini Tawajifunze kutoka kwenye nyuki nyuki kwa Ufanisi wa Taasisi zao.

Njoooni Msome
16/06/2019

Njoooni Msome

20/08/2017

KARIBUNI KWENYE UKURASA WA WATAALAMU WA NYUKI TANZANIA

Address

Kisaki Village
Singida

Telephone

+255656104141

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Singida Youth Entrepreneurs and Consultants Cooperative Society posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share