Uchumi Bank

Uchumi Bank Tunalenga Kutoa Huduma Bora na Rafiki. Jiunge nasi leo kupitia link iliyopo kwenye Bio.

Eid Mubarak Rafiki. Matawi yetu yote yamefungwa ili kujumuika na Rafiki zetu Waislamu katika kusherehekea sikukuu ya Eid...
27/05/2026

Eid Mubarak Rafiki.

Matawi yetu yote yamefungwa ili kujumuika na Rafiki zetu Waislamu katika kusherehekea sikukuu ya Eid-Al-Adha.

Endelea kufurahia huduma zetu kupitia
》Mawakala wa UCB jirani nawe.
》UCB Mkononi *150*41
》UCB Mobile App
》UCB ATM card (machine za UmojaSwitch nchi nzima).

wewe ni familia.

UCB inaendelea kuimarisha huduma zake hususani mifumo ya Kidigitali, ili kuhakikisha wateja wote wanapata huduma bora na...
20/05/2026

UCB inaendelea kuimarisha huduma zake hususani mifumo ya Kidigitali, ili kuhakikisha wateja wote wanapata huduma bora na stahiki za Kibenki.

Pichani: Afisa Mtendaji Mkuu (CEO) wa UCB akitoa wasilisho kuhusu maendeleo na mwelekeo wa UCB alipozuru Dayosisi ya Magharibi Kati-Tabora
(KKKT DMK).

Jisajili leo na UCB Mkononi *150*41 # ufurahie uhuru wa miamala 24/7.



Wewe uko upande gani,Mobile App au UCB Mkononi-USSD *150*41 #? 》UCB Mkononi *150*41 # hata bila intaneti ,miamala inatem...
15/05/2026

Wewe uko upande gani,Mobile App au UCB Mkononi-USSD *150*41 #?

》UCB Mkononi *150*41 # hata bila intaneti ,miamala inatembea 24/7.
》UCB Mobile App,miamala kwa kasi ya ajabu.



Katika siku hii ya Wafanyakazi  tunasimama kwa heshima na shukrani kwa juhudi,ujasiri,kujitolea na uvumulivu kwa Wafanya...
01/05/2026

Katika siku hii ya Wafanyakazi tunasimama kwa heshima na shukrani kwa juhudi,ujasiri,kujitolea na uvumulivu kwa Wafanyakazi wote katika sekta mbalimbali za kimaendeleo.

Tunapoadhimisha siku hii muhimu,UCB inaendelea kushikilia misingi ya uadilifu,usawa na heshima kwa kila mfanyakazi na tunatambua mchango wa kila mmoja- mdogo au mkubwa katika kuijenga jamii iliyobora.

Heri ya siku ya Wafanyakazi.




"Ensuring a healthy psychological working environment."  ,wewe ni familia.
30/04/2026

"Ensuring a healthy psychological working environment."

,wewe ni familia.


  ,wewe ni familia.
28/04/2026

,wewe ni familia.

Heri ya maadhimisho ya miaka 62 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Huduma zetu zinapatikana Kidigitali.  ,wewe ni fa...
26/04/2026

Heri ya maadhimisho ya miaka 62 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Huduma zetu zinapatikana Kidigitali.
,wewe ni familia.

Tutembelee leo katika tawi letu la Bomang'ombe-Hai  tukuhudumie kwa ubora wa hali ya juu.  BB iko tayari kukupa masuluhi...
16/04/2026

Tutembelee leo katika tawi letu la Bomang'ombe-Hai tukuhudumie kwa ubora wa hali ya juu.

BB iko tayari kukupa masuluhisho ya kifedha na kukujenga zaidi.

Maulizo tupigie 0748465131.
,wewe ni familia.

Benki ya Uchumi inaungana na Watanzania wote katika kumbukizi ya kifo cha Hayati Abeid Amani Karume, Rais wa kwanza wa Z...
07/04/2026

Benki ya Uchumi inaungana na Watanzania wote katika kumbukizi ya kifo cha Hayati Abeid Amani Karume, Rais wa kwanza wa Zanzibar,tunaishi katika upendo wake kwa Taifa na hasa msisitizo wake juu ya uzalendo, umoja, na kujitegemea.

Je,unakumbuka nukuu yake yoyote?

Kidigitali masaa 24 kupitia;
|UCB Rafiki Wakala
|UCB Mobile App
|UCB Mkononi *150*41 #
|UmojaSwitch ATM




Benki ya Uchumi inawafahamisha wateja wake kuwa Matawi yetu yoye yatakua yamefungwa Jumatatu ya Pasaka,huduma zetu zitae...
06/04/2026

Benki ya Uchumi inawafahamisha wateja wake kuwa Matawi yetu yoye yatakua yamefungwa Jumatatu ya Pasaka,huduma zetu zitaendelea kupatikana kidigitali.

, wewe ni familia.

Address

P. O BOX 7811
Moshi
255

Opening Hours

Monday 08:30 - 17:00
Tuesday 08:30 - 16:00
Wednesday 08:30 - 16:00
Thursday 08:30 - 17:00
Friday 08:30 - 17:00
Saturday 08:30 - 13:00
Sunday 11:00 - 16:00

Telephone

+255748465131

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Uchumi Bank posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share