25/11/2022
*MAUMIVU YA KIUNO NA NYONGA*
Maumivu ya kiuno na nyonga (Lumbago) ni hali inayotokea mara nyingi na inayohusu misuli na mifupa ya upande wa chini wa mgongo. Hali hii huathiri takriban 40% ya watu kwa wakati fulani maishani mwao.
*SABABU ZINAZOPELEKEA MAUMIVU YA KIUNO NA NYONGA* (mifupa kwa ujumla)
👉🏻kujichua muda mrefu hupelekea maumivu hayo.
👉🏻Namna ya kulala (style) /godoro linaweza kukusababishia maumivu hayo
👉🏻Kubeba mizigo kwa kuinama na mzigo,
👉🏻mawazo (stress) nyingi
👉🏻kulala kwa muda mrefu na matumizi mabaya ya MTO
👉🏻kuteguka au mkazo wa misuli.
👉🏻Unene wa kupindukia
👉🏻 kuvuta sigara
👉🏻kunenepa wakati wa ujauzito
👉🏻mfadhaiko
👉🏻matatizo ya mwili
👉🏻mkao mbaya na kulala vibaya pia huchangia maumivu ya mgongo.
✍🏻Wanawake wanaweza kuwa na maumivu ya kiuno kutokana na hali zinazoathiri mfumo wa uzazi k**a;
👉🏻Matatizo ya hedhi
👉🏻uvimbe kwenye mayai
👉🏻saratani ya ovari au fibroidi ya uterasi.
👉🏻Matatizo ya kimwili yanaweza kuwa osteoathritisi,
👉🏻 Ugongonjwa wa baridi yabisi (arthritis rheumatoid)
👉🏻kuharibika kwa diski zilizo katikati mwa pingili za uti wa mgongo
👉🏻kuvunjika kwa pingili za uti wa mgongo (k**a vile kufuatia osteoporosisi)
👉🏻maambukizi au tyuma ya uti wa mgongo.
*MADHARA YA MAUMIVU YA NYONGA NA KIUNO*
👉🏻Hupelekea kushindwa kufanya tendo la ndoa
👉🏻Hupelekea kupooza kwa baadhi ya viungo vya mwili
👉🏻Hupelekea kuwahi kufika kileleni mapema wakati wa tendo na kushindwa kurudia
👉🏻Unaweza kushindwa kutembea kabisa /kunyanyuka, utakaa ukiwa umelala.
*ANGALIZO :*
👉🏻Kuna sababu nyingi zinazopelekea maumivu ya nyonga na baadhi ya sababu hizi huashiria magonjwa hatari ni Vyema Ukafahamu Kwanza Chanzo Cha tatizo Kabla ya Matibabu.
✍🏻TATIZO HILI LINATIBIKA KUTOKANA NA CHANZO CHA TATIZO
✍🏻Kupata tiba tuwasiliane
Ahsante
MAWASILIANO
0710705676