12/01/2024
VIFAHAMU VIWANGO VYETU VYA MIKOPO PAMOJA NA AKIBA/RIBA ZAKE
1. mkopo wa laki moja Tsh 100,000/= Akiba yake ni Tsh 15,000/= na marejesho yake hufanyika kwa muda wa miezi miwili 2 kila mwezi Tsh 50,000
2. mkopo wa laki mbili Tsh 200,000 Akiba yake ni Tsh 22,000 na marejesho yake hufanyika kwa muda wa miezi minne 4 kila mwezi Tsh 50,000
3. mkopo wa laki tatu Tsh 300,000/=, Akiba yake ni Tsh 35,000/= na Marejesho yake hufanyika kwa muda wa miezi 6 kila mwezi Tsh 50,000/=
4 : mkopo wa laki nne Tsh 400,000/=, Akiba yake ni Tsh 40,000/= na Marejesho yake hufanyika kwa muda wa miezi 8 kila mwezi Tsh 50,000/=
5: mkopo wa laki tano Tsh 500,000, Akiba yake ni Tsh 50,000/= na Marejesho yake hufanyika kwa muda wa miezi 10 kila mwezi Tsh 50,000/=
6 : mkopo wa laki sita Tsh 600,000/= Akiba yake ni Tsh 60,000/= na Marejesho yake hufanyika kwa muda wa miezi 12 kila mwezi Tsh 50,000/=
7 : mkopo wa laki saba Tsh 700,000/=, Akiba yake ni Tsh 70,000/= na Marejesho yake hufanyika kwa muda wa miezi 14 kila mwezi Tsh 50,000/=
8 : mkopo wa laki nane Tsh 800,000/=, Akiba yake ni Tsh 80,000/= na Marejesho yake hufanyika kwa muda wa miezi 16 kila mwezi Tsh 50,000/=
9 : mkopo wa laki tisa Tsh 900,000/=, Akiba yake ni Tsh 90,000/= na Marejesho yake hufanyika kwa muda wa miezi 18 kila mwezi Tsh 50,000/=
10 : mkopo wa milioni moja Tsh 1,000,000/=, Akiba yake ni Tsh 100,000/= na Marejesho yake hufanyika kwa muda wa miezi 20 kila mwezi Tsh 50,000/=
11 : mkopo wa milioni mbili Tsh 2,000,000 ,Akiba yake ni Tsh 200,000/= na Marejesho yake hufanyika kwa muda wa miezi 20 Kila mwezi Tshs 100,000/=
12: mkopo wa milioni tatu Tsh 3,000,000/=, Akiba yake ni Tsh 300,000/= na Marejesho yake hufanyika kwa muda wa miezi 20 kila mwezi Tsh 150,000/=
13 : mkopo wa milioni nne Tsh 4,000,000/=, Akiba yake ni Tsh 400,000/= na Marejesho yake hufanyika kwa muda wa miezi 20 kila mwezi Tsh 200,000/=
14 : mkopo wa milioni tano Tsh 5,000,000/=, Akiba yake ni Tsh 500,000/= na Marejesho yake hufanyika kwa muda