21/05/2020
JE UNAJUA K**A UCHKUAJI WA MIKOPO BILA KUWA NA ELIMU YA FEDHA YA NAMNA GANI UTAREJESHA UTAATHIRI AFYA YAKO??
Leo tutaenda kuangalia maeneo makuu mawili yanayoathirika zaidi.
Eneo la kwanza:Mfumo wa Fahamu
(Ubongo)
Katika eneo hili likiathirika yafuatayo yanawezekana kutokea
1.ugonjwa Wa akili
2.kusahau Mara Kwa mara
3.kupata msongo Wa Mawazo utakaopekea shinikizo la damu Kuwa juu
4.kujiua Maana ubongo unakosa maamuzi sahihi
5.kupunguza Uwezo Wa kufikiri
Eneo la pili litakaloathirika ni mfumo Wa kinga.
Mfumo wa kinga ukiathiriwa mwili utapata magonjwa nyemelezi Mara kwa Mara k**a
1.mafua na kikohozi cha Mara kwa mara
2.vidonda vya tumbo hii ni kwa sababu ya uzalishwaji Wa free radical nyingi yaani oksijeni ilionamapungufu na hii Hishambulia kuta za tumbo
3.hupelekea Kuongezeka kasi ya kuzeeka.
Ushauri :kabla ya kuchkua mkopo hakikisha una majibu ya maswali haya
Kwann na chkua mkopo
Je nitaweza kuurejesha
Je nina Elimu ya Kunisaidia kupata njia rahisi ya kurejesha
Haya yote Buce agrimoney company limited, kampuni inayotoa Elimu ya fedha na mikopo kwa riba rafiki it akusaidia kukushauri namna ya kurejesha mkopo wako kwa urahisi kabisa.
Pia kampuni hii Inatoa Elimu ya Afya kwa Wanachama wake bure
Wako pharmacist and ceo Buce agrimoney ltd, tunajali Afya na mafanikio ya mteja wetu.
Wasiliana Nasi kwa 0763231060
Au Barua Pepe, [email protected].
.