Mama Bahati Foundation(MBF)

Mama Bahati Foundation(MBF) Mama Bahati Foundation(MBF) Mfuko wa Mama Bahati. Wajumbe hawa waanzilishi ndio waangalizi wakuu wa shughuli zote za mfuko.

Mfuko wa Mama Bahati(MBF) ni asasi isiyo ya Kiserikali inayojihusisha na utoaji wa mikopo na mafunzo ya ujasiliamali Tanzania. MBF ilisajiliwa rasmi tarehe 23.02.2012 chini ya sheria za NGO ya Ofisi ya Makamu wa Rais Tanzania namba ya usajili ni 04NGO/0681, Na ilijaliwa tena tarehe 07 Septemba 2015 na kuwa " The registered Trustee of the Mama bahati Foundation" na msajili wa Udhamini Tanzania. Waz

o anzilishi lilitolewa na Askofu Mstaafu Donald L.Mtetemela wa kanisa Anglikana Tanzania-Dayosisi ya Ruaha kutoka
ZABURI 113:7-9
"Humwinua mnyonge kutoka mavumbini,na kumpandisha maskini kutoka jaani;Amketishe pamoja na wakuu wa watu wake.Humweka nyumbani mwanamke aliyetasa,awe mama wa watoto mwenye furaha". Wazo hili liliungwa mkono na wajumbe wengine sita na wakaamua kuanzisha Mfuko huu wakiwa na lengo la kusaidia jamii kiroho na kimwili. Bodi ya Mfuko ina wajumbe wanne (4) na kulingana na taaluma na ujuzi wao wamesaidia sana kuweka taratibu na sheria za Mfuko na kuhakikisha Mfuko unafanya shughuli zake kwa kufuata taratibu na sheria zilizowekwa na Serikali ya Jamhuri ya Tanzania. Menejimenti ya Mfuko huu inajumuisha Afisa Mtendaji Mkuu, Meneja wa Fedha na Utawala, Meneja wa Mikopo, Meneja wa Mafunzo ya Jamii na Meneja wa Tehama.

MBF tulipata nafasi katika Maazimisho ya siku ya kitalii Iringa(ambayo ilianza jumapili hadi jumanne tar 30... tuliweza ...
30/11/2016

MBF tulipata nafasi katika Maazimisho ya siku ya kitalii Iringa(ambayo ilianza jumapili hadi jumanne tar 30... tuliweza kutangaza bidhaa yetu ya M-kopa solar, watu wengi walipendezwa na bidhaa ya M-kopa Solar.

MBF IT Manager at the middle with Black T-shirts with Virginia Sibanda the VIRL CEO at the left side and other VIRL staf...
21/11/2016

MBF IT Manager at the middle with Black T-shirts with Virginia Sibanda the VIRL CEO at the left side and other VIRL staffs at VIRL

Baadhi ya staff wa Mama Bahati Foundation wakiwa senta ya Migoli wakikusanya marejesho pamoja na kuongea na wana vikundi...
10/11/2016

Baadhi ya staff wa Mama Bahati Foundation wakiwa senta ya Migoli wakikusanya marejesho pamoja na kuongea na wana vikundi. Few Staff of Mama Bahati Foundation in Migoli Center receiving, collecting loan and talking to the member of groups.....

Tukaweza kumtembelea mmoja kati ya wateja wetu anaejihusisha na kilimo huko Morogoro(Kilosa-Miyombo). We got a chance to...
28/10/2016

Tukaweza kumtembelea mmoja kati ya wateja wetu anaejihusisha na kilimo huko Morogoro(Kilosa-Miyombo). We got a chance to visit one among of our client, She dealing with Farming Cultivation

Wateja wetu wawili walipata zawadi kwa kuwa ni wanachama bora wa Mama Bahati Foundation katika branch yetu ya Morogoro. ...
28/10/2016

Wateja wetu wawili walipata zawadi kwa kuwa ni wanachama bora wa Mama Bahati Foundation katika branch yetu ya Morogoro. Two customer they receive gift from Branch Manager and our Guest from Five Talent because they are active.

Mmoja ya wafanyakazi wa Mama Bahati Foundation akiendelea kuuza solar ya M-Kopa ambayo ni mona kati ya miradi tuliyonayo...
27/10/2016

Mmoja ya wafanyakazi wa Mama Bahati Foundation akiendelea kuuza solar ya M-Kopa ambayo ni mona kati ya miradi tuliyonayo. One among of our team having sales of M-Kopa solar for a customer, M-Kopa Solar is one of our project in MAMA BAHATI FOUNDATION

Tukazungumza na baadhi ya wateja wetu kujua changamoto na mahitaji yao k**a wana kikundi..Finally we have conversation w...
27/10/2016

Tukazungumza na baadhi ya wateja wetu kujua changamoto na mahitaji yao k**a wana kikundi..Finally we have conversation with our clients to know their needs and challenge they are passing through in order to know how we can solve them.

Hapa tukiwa tumewasili KILOSA MIYOMBO..We are now arrive at KILOSA MIYOMBO
27/10/2016

Hapa tukiwa tumewasili KILOSA MIYOMBO..We are now arrive at KILOSA MIYOMBO

Huyu ndiye mwenyeji wetu Branch Manager wa Morogoro Mr. Lugenge... Morogoro Branch Manager, Mr. Lugenge
27/10/2016

Huyu ndiye mwenyeji wetu Branch Manager wa Morogoro Mr. Lugenge... Morogoro Branch Manager, Mr. Lugenge

Mapema leo tukiwa Morogoro kwenye Branch yetu ya Mama Bahati Foundation tuliweza kupata utambulisho na kufahamiana na wa...
27/10/2016

Mapema leo tukiwa Morogoro kwenye Branch yetu ya Mama Bahati Foundation tuliweza kupata utambulisho na kufahamiana na wageni wetu kutoka Five Talent. In the morning we had meeting, all staff and our Guest from Five Talent before start our Journey to KILOSA (Miyombo). Each stand and introduce for Him or Her self.....

Tukapata mapumziko mafupi na mwenyeji wetu Banch Manager wa Morogoro
26/10/2016

Tukapata mapumziko mafupi na mwenyeji wetu Banch Manager wa Morogoro

Tukawasili Morogoro kwenye Tawi la Mama Bahati Foundation. We are now arrive in Morogoro (MBF sub brach)
26/10/2016

Tukawasili Morogoro kwenye Tawi la Mama Bahati Foundation. We are now arrive in Morogoro (MBF sub brach)

Address

P. O Box 2463. Iringa, Plot No 183 & 185 Block D Lugalo
Iringa
P.OBOX2463,

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mama Bahati Foundation(MBF) posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Mama Bahati Foundation(MBF):

Share

Category