A & K Crest Corporate Services Limited

A & K Crest Corporate Services Limited Huduma za Ushauri kuhusu Ardhi, Biashara na Masoko. Ushauri wa Uwekezaji kwenye Ardhi, Mahusiano ya Umma, Matangazo nk.

Pia tunatoa huduma za kufuatilia Hati, Vibali vya Ujenzi, Uchoraji wa Ramani, Upimaji & Upangaji Ardhi, Ununuzi & Uuzaji viwanja, nk.

27/05/2026
HUYU NI MMILIKI HALALI AU NI MTAPELI? 🤔📄Haitoshi kwamba una "Mkataba wa Mauziano" wa Ardhi au Kiwanja mkononi mwako. K**...
19/05/2026

HUYU NI MMILIKI HALALI AU NI MTAPELI? 🤔📄Haitoshi kwamba una "Mkataba wa Mauziano" wa Ardhi au Kiwanja mkononi mwako. K**a huna Hati au hujahamisha umiliki kwenda kwenye jina lako, kisheria bado hujawa salama!
💥Ukiwa na Hati ya Kiwanja (Title Deed) na Kibali cha Ujenzi, unajisafishia njia ya kufurahia faida hizi kuu tano:
1️⃣ Uthibitisho Mkuu wa Kisheria – Ndio utambulisho pekee unaotambulika mahakamani kuwa kiwanja ni chako.
2️⃣ Dhamana ya Mikopo Benki – Benki zote zinahitaji hati miliki ili kukuongezea mtaji wa biashara au ujenzi.
3️⃣ Komesha Migogoro – Inalinda ardhi yako isidhulumiwe au kuuzwa mara mbili na matapeli.
4️⃣ Ongeza Thamani ya Kiwanja – Ardhi yenye hati inapanda bei kwa kasi kubwa zaidi sokoni.
5️⃣ Fidia Stahiki kutoka Serikalini – Miradi ya umma ikipita kwenye ardhi yako, unalipwa fidia kamili bila usumbufu

Miliki Ardhi Yenye Thamani na Salama!🏢Usiishie tu kumiliki kiwanja, hakikisha kina HATI na kimeendelezwa ili kikufunguli...
11/05/2026

Miliki Ardhi Yenye Thamani na Salama!

🏢Usiishie tu kumiliki kiwanja, hakikisha kina HATI na kimeendelezwa ili kikufungulie milango ya mikopo na fursa za kibenki.

Mkabidhi mtaalamu majukumu yako! A & K CREST CORPORATE SERVICES tunafanya yafuatayo:
Kufuatilia Hati za Kiwanja 📑
Ramani za Kisasa & Vibali vya Ujenzi 📐

Usimamizi wa Ujenzi (Project Management) 🏗️

Fika ofisini kwetu leo mkoani Dodoma, Stendi Kuu ya Mkoa, Chumba Na. 18 au tupigie kwa simu namba 0763581704 kwa maelezo zaidi.

Wekeza muda wako kufanya majukumu mengine, hili la kufuatilia HATI yako, Kukuchorea Ramani ama kufuatilia kibali cha Uje...
03/05/2026

Wekeza muda wako kufanya majukumu mengine, hili la kufuatilia HATI yako, Kukuchorea Ramani ama kufuatilia kibali cha Ujenzi, tuachie sisi.

🏠 *UNAMILIKI ARDHI AU UNAKAA TU?* 🏠Watu wengi wanaamini kuwa na kiwanja ni kumiliki ardhi, lakini kisheria: K**a huna Ha...
21/04/2026

🏠 *UNAMILIKI ARDHI AU UNAKAA TU?* 🏠

Watu wengi wanaamini kuwa na kiwanja ni kumiliki ardhi, lakini kisheria: K**a huna Hati, Ardhi hiyo siyo yako!
Nyaraka hizi tatu zinakutambulisha, *lakini* *HATI* pekee ndiyo ushahidi wa mwisho:
📜 Barua ya Toleo (Letter of Offer)
📜 Hati ya Miliki ya Kimila (CCRO)
📜 Umiliki wa Kujitwalia (Adverse Possession)
Unayo ardhi Dodoma lakini huna muda wa kufuatilia Hati? Usipoteze urithi wa vizazi vyako kwa uzembe!

✅ Sisi tunakushughulikia mchakato mzima wa Hati mpaka ikufikie mkononi.

📍 *Tupate* : Stendi Kuu ya Mkoa wa Dodoma, Chumba No: 18.

📞 *Wasiliana nasi:* 0763581704
*A & K CREST CORPORATE SERVICES*
"Ardhi yako, Hati yako, Urithi wa vizazi VYAKO

Sasa, tunakutafutia Hati, Tunakutafutia Kibali cha Ujenzi, Tunakuchorea Ramani, Tunasimamia Ujenzi wa Nyumba yako, na tu...
03/04/2026

Sasa, tunakutafutia Hati, Tunakutafutia Kibali cha Ujenzi, Tunakuchorea Ramani, Tunasimamia Ujenzi wa Nyumba yako, na tunakuezekea kwa Mabati bora Kabisa kutoka EAST AFRICA AMANI TRADING COMPANY LTD hapa Dodoma Jiji. Tupigie sasa tuanzie mwaka pamoja.

11/03/2026

Serikali Mkoani Dodoma imesema inalenga kuhakikisha ardhi ya jiji inatumika kwa maendeleo na si kubaki mapori yasiyo na matumizi.

Imeongeza kuwa wale wanaovamia viwanja vya watu bila utaratibu sahihi wanakiuka sheria na watachukuliwa hatua kali.

Tasisi na wananchi wote wanahimizwa kuendeleza viwanja walivyopewa na kuepuka uvamizi wa maeneo yasiyo yao.
Hatua hii inalenga kulinda haki za wamiliki halali na kuendeleza ustawi wa Jiji la Dodoma.

Bado hujapata HATI ya KIWANJA/VIWANJA VYAKO!!? HUJAJENGA HATA FENSI KWA VILE HUNA KIBALI!!? TUPIGIE: 0763581704.

Video kwa hisani ya MANYUNYU TV

Kwa kadri Jiji la Dodoma linavyokua, ndivyo *Thamani ya Ardhi* yake inavyoongezeka.  *Ni muhimu kuwa na Hati ya Kiwanja ...
26/02/2026

Kwa kadri Jiji la Dodoma linavyokua, ndivyo *Thamani ya Ardhi* yake inavyoongezeka.

*Ni muhimu kuwa na Hati ya Kiwanja chako na sisi A & K Crest Corporate Services Limited tuko hapa kukusaidia kukamilisha taratibu za kufuatilia Hati yako wakati wewe ukiendelea na majukumu yako mengine.

Tupigie leo 0763581704 au fika Ofisini kwetu, , Chumba No. 18: kwa ubora, Uharaka, na Usalama wa Huduma zetu.

05/02/2026

Mwaka umeanza, njoo tuzungumze hapa Crest Corporate Services, tuyajenge. 0763581704

Address

Ofisi Iko Stendi Ya Mkoa Wa Dodoma, Mlango No: 18
Dodoma

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 12:00

Telephone

+255758668859

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when A & K Crest Corporate Services Limited posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share