Darasa La Mapenzi

Darasa La Mapenzi Kalibu kwenye ukurasa wa walembo unachagua musichana umupendae na kumalizana chumban

27/04/2023
19/04/2023

Watch, follow, and discover more trending content.

Unanionajeee sambaza page yangu
28/03/2023

Unanionajeee sambaza page yangu

Mama Janeth Magufuli, Mjane wa aliyekuwa Rais wa awamu ya tano wa Tanzania Hayati John Magufuli ametunukiwa Tuzo ya Hesh...
25/03/2023

Mama Janeth Magufuli, Mjane wa aliyekuwa Rais wa awamu ya tano wa Tanzania Hayati John Magufuli ametunukiwa Tuzo ya Heshima ya Kimataifa toleo la 3, inayotolewa na Taasisi ya Martha Tshisekedi Kasalu kwa kutambua mchango wake kwa Taifa la Tanzania na kwa Hayati Magufuli akiwa Rais wakati akitekeleza majukumu yake Kitaifa na Kimataifa.

Tuzo hizi za M. T. Kasalu ambazo hutolewa kwa Wenza wa Viongozi Wakuu wa Nchi na Watu Maarufu Duniani kwa kutambua michango yao kwa Wenza wao, Jamii na Taifa husika, zimetolewa jana Ijumaa March 24, 2023 katika Hoteli ya Pullman Jijini Kinshasa ambapo Waandaaji wa Tuzo ni Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Urithi ya Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) wakishirikiana na Taasisi ya Lizadeel.

Kwa mwaka huu waliopokea Tuzo hizo ni Mama Janeth Magufuli, Mama Suzanne Mukay, Mke wa Daktari maarufu nchini DRC, wa magonjwa ya kina Mama na kansa, Mama Vivianne Dalo, Mke wa Mchungaji Maarufu na anayeheshimika DRC, Pastor Roland Dalo.

Wengne ni Mama Colette SENGHOR, Mke wa Rais wa kwanza wa Senegal, Leopold Senghor ambaye aliisaidia Senegal kupata Uhuru. A Mama Coretta KING Mke wa Martin Luther King ambaye Mumewe alisaidia mengi ikiwemo kupinga ubaguzi wa rangi USA.
Darasa La mapenzi

Address

Dodoma

Telephone

+25587548658

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Darasa La Mapenzi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Darasa La Mapenzi:

Share