Wazabuni Saccos Tz

Wazabuni Saccos Tz KARIBU KUJIUNGA NA SACCOSS YA WAZABUNI UPATE KUNUFAIKA NA FURSA YA MIKOPO YENYE RIBA NAFUU NA ELIMU.

Habari njema, sasa Mwanachama wa wazabuni saccoss anaweza kutumia simu yake ya mkononi kwa ajili ya:• kupata taarifa za ...
05/09/2024

Habari njema,

sasa Mwanachama wa wazabuni saccoss anaweza kutumia simu yake ya mkononi kwa ajili ya:

• kupata taarifa za akaunti yake na miamala yake yote
• kufanya malipo ya michango yake moja kwa moja kwenye mfumo,
•kuweza kuomba mkopo kwenye app.
• matangazo na taarifa muhimu za chama.

Unasubiri nini, karibu Leo ujiunge na wazabuni saccoss ltd. Kwa huduma bora na za uhakika kwa wanachama wake.

Furahia zawadi kemkem kila uwekapo akiba yako na wazabuni saccos ltd. 🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
21/08/2024

Furahia zawadi kemkem kila uwekapo akiba yako na wazabuni saccos ltd.

🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁

🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

Mrajis msaidizi wa mkoa wa Dodoma Joseph Chitinka akifungua mafunzo ya uongozi na usimamizi kwa wajumbe wa bodi, kamati ...
16/08/2024

Mrajis msaidizi wa mkoa wa Dodoma Joseph Chitinka akifungua mafunzo ya uongozi na usimamizi kwa wajumbe wa bodi, kamati za usimamizi na watendaji wa vyama vya ushirika Agost 15, 2024 mkoani Dodoma.

Mh. Raisi Dk. Samial Suluhu Hassan akihimiza kujenga vyama vya ushirika vyenye nguvu katika sikukuu ya nane nane jijini ...
08/08/2024

Mh. Raisi Dk. Samial Suluhu Hassan akihimiza kujenga vyama vya ushirika vyenye nguvu katika sikukuu ya nane nane jijini Dodoma.

08/08/2024
⭐ "UMOJA PLUS"⭐Huduma Mpya ya Kikundi Mwanachama kutoka Wazabuni SACCOS Ltd.!Je, nyinyi ni kikundi, kikoba, chama , taas...
23/07/2024

⭐ "UMOJA PLUS"⭐

Huduma Mpya ya Kikundi Mwanachama kutoka Wazabuni SACCOS Ltd.!

Je, nyinyi ni kikundi, kikoba, chama , taasisi ya kiraia/kidini? Jiungeni na *Umoja Plus*
leo na mnufaike na nguvu ya umoja plus!

Manufaa ya Umoja Plus

✅ Mikopo Nafuu kwa Vikundi:
Pata mikopo yenye riba nafuu kwa ajili ya miradi ya pamoja ya kikundi na uwezesahji kwa wanachama.

✅ Uwekezaji wa Pamoja:
Kikundi kuongeza kipato kupitia faida ya uwekezaji wa pamoja na Kikundi Mwanachama.

✅ Usimamizi Bora wa Fedha:
Huduma za kifedha zilizobuniwa kwa ajili ya kikundi chako na usimamizi Bora wa fedha za kikundi.

✅ Ushirikiano na Mshikamano:
Imarisha nguvu ya kikundi na wezesha wanachama wako.

✅ Bima ya afya na majanga
Kila mwanachama kupata uhakika wa bima ya afya na mkono wa pole kipindi Cha majanga.

Huduma ya "UMOJA PLUS" ni Kwa Ajili ya:

- Vikundi vya Kijamii
- Vikoba
- Taasisi za Kidini na za kiraia*

kuza mtaji wa kikundi/chama chenu maradufu kupitia umoja plus kutoka wazabuni saccos ltd. 💰

Kwa mawasiliano
0786930107
0710274997

Wazabuni saccos tunakupongeza ndugu Denis K. Simba kwa kiteuliwa kuwa mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya PPRA. Mungu akusimam...
23/07/2024

Wazabuni saccos tunakupongeza ndugu Denis K. Simba kwa kiteuliwa kuwa mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya PPRA.
Mungu akusimamie na akuongoze kwenye majukumu haya mapya

WEKEZA AKIBA YAKO NA UPATE FAIDA HADI 10%WAZABUNI SACCOS LTD. TUNATOA FAIDA KWA KILA AKIBA UTAKAYOWEKEZA KUANZIA TSH 100...
11/07/2024

WEKEZA AKIBA YAKO NA UPATE FAIDA HADI 10%

WAZABUNI SACCOS LTD. TUNATOA FAIDA KWA KILA AKIBA UTAKAYOWEKEZA KUANZIA TSH 100,000/= NA KUENDELEA.

WEKA AKIBA YAKO LEO KUKUZA KIPATO CHAKO 📈 NA UTIMIZE MALENGO YAKO KUTOKANA NA ONGEZEKO LA FAIDA UTAKAYOIPATA.

TUNZA AKIBA YAKO MAHALI SALAMA NA KISHA VUNA FAIDA NZURI NA YENYE USHINDANI💰.

-----------------------------------------------------------------------

KWETU WAZABUNI SACCOS LTD. AKIBA YAKO HAIKAI BURE.

AKIBA YAKO MTAJI WAKO.💵


Jiunge na wazabuni saccos ufaidike na mkopo wa ujenzi wa nyumba kwa ajili ya makazi na biashara.
10/07/2024

Jiunge na wazabuni saccos ufaidike na mkopo wa ujenzi wa nyumba kwa ajili ya makazi na biashara.

Address

Dodoma Outlying

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Wazabuni Saccos Tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share