NIC Insurance

NIC Insurance NIC Insurance ni kampuni inayotoa huduma za bima za mali na ajali pamoja na bima za Maisha. ISO 9001:2015 Certified / Superbrand

NIC INSURANCE Haijalishi nyumba yako ina thamani kiasi gani? swali la msingi ni: INA BIMA?Linda nyumba na mali zako dhid...
27/08/2026

NIC INSURANCE

Haijalishi nyumba yako ina thamani kiasi gani? swali la msingi ni: INA BIMA?

Linda nyumba na mali zako dhidi ya hatari mbalimbali kwa Bima ya Linda Mjengo ya NIC Insurance. Bima hii inalinda mali dhidi ya hatari k**a moto, radi na mlipuko, pamoja na hatari nyingine kulingana na masharti ya bima.

Kwa maelezo zaidi tupigie simu bure : 0800 110 041

Mkurugenzi Mtendaji, Bw. Kaimu Mkeyenge mewaongoza watumishi wa Shirika la Bima la Taifa (NIC) kutoa heshima za mwisho k...
25/08/2026

Mkurugenzi Mtendaji, Bw. Kaimu Mkeyenge mewaongoza watumishi wa Shirika la Bima la Taifa (NIC) kutoa heshima za mwisho kwa marehemu Bi. Esther James Nyembera aliyekuwa Mwandishi Mwendesha Ofisi Mwandamizi, Idara ya Bima za Maisha aliyefariki dunia tarehe 22 Agosti, 2026 katika Hospitali ya Kairuki alipokua akipatiwa matibabu.

Akitoa salamu za rambirambi katika ibada ya kuaga mwili wa marehemu Dar es Salaam (Kimara, S**a) Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimaliwatu Bi. Nasemaba Mgonja amewapa pole familia huku akieleza namna NIC ilivyopoteza mtumishi mchapakazi ambaye wakati wote amekuwa akishirikiana na watumishi kwa upendo mkubwa.

Marehemu Esther James Nyembera amesafirishwa kwenda Kahama kwa mazishi yatakayofanyika Jumatano tarehe 26 Agosti 2026.

Shirika la Bima la Taifa (NIC) tunaendelea kutoa pole kwa familia, ndugu, jamaa, marafiki na wote walioguswa na msiba huu.

Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. Amina.

Tanzia
22/08/2026

Tanzia

Jiunge na Bima ya Maisha leo, weka akiba na ujenge msingi wa kutimiza malengo yako ya baadaye.Piga simu bure 080 0110 04...
21/08/2026

Jiunge na Bima ya Maisha leo, weka akiba na ujenge msingi wa kutimiza malengo yako ya baadaye.

Piga simu bure 080 0110 041

Waziri wa Uchukuzi Mhe. Prof. Makame Mbarawa, akizungumza na Maafisa Bima wa Shirika la Bima la Taifa (NIC), Bw. Nassoro...
21/08/2026

Waziri wa Uchukuzi Mhe. Prof. Makame Mbarawa, akizungumza na Maafisa Bima wa Shirika la Bima la Taifa (NIC), Bw. Nassoro Mwilima na Bw. Muhamed Mkwenya alipotembelea banda la NIC lililopo katika Mkutano wa Nne wa Kimataifa wa Usafirishaji unaofanyika katika ukumbi wa Mlimani City, Jijini Dar es Salaam.

Mkutano huo wa siku mbili unaoendeshwa na Chuo Cha Usafirishaji (NIT) umeanza leo Agosti 20, 2026 na unatarajiwa kuhitimishwa kesho Agosti 21, 2026.

NIC Invites Applications for 21 Volunteer PositionsNational Insurance Corporation (NIC) invites dynamic, proactive, moti...
16/08/2026

NIC Invites Applications for 21 Volunteer Positions
National Insurance Corporation (NIC) invites dynamic, proactive, motivated, and suitably qualified Tanzanians to apply for 21 vacant volunteer positions.

If you are passionate, committed, and ready to learn and grow professionally, this is an opportunity to take the next step in your career journey.

Link > https://lnkd.in/e2KWvpje

Bima ya Maisha ya Malengo ni nini?
14/08/2026

Bima ya Maisha ya Malengo ni nini?

NIC Invites Applications for 21 Volunteer PositionsNational Insurance Corporation (NIC) invites dynamic, proactive, moti...
13/08/2026

NIC Invites Applications for 21 Volunteer Positions

National Insurance Corporation (NIC) invites dynamic, proactive, motivated, and suitably qualified Tanzanians to apply for 21 vacant volunteer positions.

If you are passionate, committed, and ready to learn and grow professionally, this is an opportunity to take the next step in your career journey.

Apply Now:

Email: [email protected]
Deadline for application is 21st August, 2026

We are Hiring - Direct Sales Agent
11/08/2026

We are Hiring - Direct Sales Agent

Kata bima yako popote ulipo na NIC Kiganjani.Furahia urahisi wa kukata bima ukiwa nyumbani, kazini au safarini.Chagua ur...
11/08/2026

Kata bima yako popote ulipo na NIC Kiganjani.

Furahia urahisi wa kukata bima ukiwa nyumbani, kazini au safarini.

Chagua urahisi, chagua NIC Kiganjani.





Tedwali la Ada za Bima za Magari

Address

NIC Insurance
Dar Es Salaam
255

Opening Hours

Monday 08:30 - 17:00
Tuesday 08:30 - 17:00
Wednesday 08:30 - 17:00
Friday 08:30 - 17:00

Telephone

+255800110041

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when NIC Insurance posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to NIC Insurance:

Shortcuts

Share