Platinum Credit Ltd - Tanzania

Platinum Credit Ltd - Tanzania Platinum credit ltd ni taasisi ya fedha inayo jishughulisha na utoaji wa mikopo kwa wafanyakazi. Lengo letu ni kuwa karibu na wewe pale unapotuitaji.

Platinum Credit Ltd ni taasisi ya kifedha tunajishughulisha na utowaji wa mkopo wa dharura kwa Watumishi wa umma ndani ya masaa 24 tu vile vile tunahuduma za mkopo kwa wafanyabiashara na wafanyakazi wa sekta binafsi kwa dhamana ya kadi ya gari.

17/03/2026
Monday is a fresh start. Lead with excellence, serve with purpose, and make this week count.
16/03/2026

Monday is a fresh start.
Lead with excellence, serve with purpose, and make this week count.


Mtumishi wa umma unaweza kutop up mpaka milioni 20 utimize malengo yako, mkopo ni ndani ya masaa 3.Tembelea ofisi zetu a...
12/03/2026

Mtumishi wa umma unaweza kutop up mpaka milioni 20 utimize malengo yako, mkopo ni ndani ya masaa 3.
Tembelea ofisi zetu au wasiliana nasi +255 746 983 100


10/03/2026
Usitoe rejesho lako kwa afisa au mfanyakazi wetu yoyote.Ni kosa na ni kinyume na taratibu zetu za kazi.
09/03/2026

Usitoe rejesho lako kwa afisa au mfanyakazi wetu yoyote.
Ni kosa na ni kinyume na taratibu zetu za kazi.


Happy Women's Day
08/03/2026

Happy Women's Day

Address

Head Office: Faykat Tower Building, 10th Floor Ali Hassan Mwinyi Road
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 08:00 - 17:00
Tuesday 08:00 - 17:00
Wednesday 08:00 - 17:00
Thursday 08:00 - 17:00
Friday 08:00 - 17:00
Saturday 08:00 - 13:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Platinum Credit Ltd - Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Platinum Credit Ltd - Tanzania:

Share

Category

Our Story

Platinum Credit ltd ni Taasisi ya kifedha, tuna jishughulisha na utoaji wa mkopo wa dharura kwa watumishi wa umma ndani ya masaa 24 tu. Tuna matawi zaidi ya sitini (60) nchi nzima, Tanzania bara na Tanzania Visiwani (zanzibar). Lengo letu ni kuwa karibu na wewe, Tupo unapo tuhitaji. Mkopo wetu ni wa kuanzia miezi mitatu (3) hadi themanini na nne (84) na una uwezo wa kukopa laki moja hadi million kumi na tano.Unahitaji salary slip, benki statement, nakala ya mkataba wako wa ajira, nakala ya kitambulisho cha Taifa, nakala ya kitambulisho chako cha kazi na nakala ya kadi ya benki.

#GARILAKOMKOPOWAKO Hii ni huduma ya mkopo kwa dhamana ya kadi ya gari inakuwezesha kupata mpaka milioni 15 ndani ya masaa 48 tu. Huduma hii ni kwa watu wote yaani wafanyabiashara, wafanyakazi wa taasisi na makampuni binafsi na Watumishi wa umma wanaomiliki magari. Huduma hii kwasasa inapatikana Dar es Salaam, Mwanza na Arusha. Tembelea tovuti yetu http://www.platinumcredit.co.tz/ au tupigie namba yetu huduma kwa wateja 0746 811 000 kwa maelezo zaidi.