Private Agricultural Sector Support - PASS Trust

Private Agricultural Sector Support - PASS Trust Asasi ya kusaidia sekta binafsi ya kilimo iliyoanzishwa mwaka 2000 ili kuchochea uwekezaji na kukuza PASS Trust ni nini? HUDUMA ZIPI ZINAZOTOLEWA NA PASS Trust?

PASS Trust ni Asasi ya kusaidia sekta binafsi ya kilimo iliyoanzishwa mwaka 2000 ili kuchochea uwekezaji na kukuza kilimo cha biashara na sekta zinazohusika. Ilisajiliwa mwaka 2007 k**a asasi isiyokuwa ya serikali kwa mujibu wa sheria ya ushirikishaji wadhamini ya mwaka 2002. DIRA
Kuwa asasi inayoongoza katika utoaji wa huduma za fedha na maendeleo ya biashara katika sekta ya kilimo. DHAMIRA
PASS

TRUST/Asasi ya PASS inawajibika katika utoaji wa huduma za maendeleo ya kilimo cha biashara na fedha kwa wafanyabiashara wajasiriamali wadogo na wa kati kwa kuwaunganisha katika tasisi za fedha. MALENGO
Malengo ya PASS ni kuchochea uwekezaji na kuhimiza ukuaji wa kilimo nchini Tanzania. Huduma zinatotolewa na PASS ni:
1. Huduma za maendeleo ya Biashara.
2. Huduma za fedha. HUDUMA ZA MAENDELEO YA BIASHARA ZA PASS
PASS inatoa huduma nyingi za maendeleo ya biashara kwa wateja kwa kuchangia gharama. Huduma hizo ni pamoja na;
- Upembuzi yakinifu.
- Kuandaa mipango ya biashara.
- Kujenga uwezo-mfano katika maeneo maalumu ya kitaalamu. Kuwaunganisha wakulima katika vikundi ambavyo vinaweza kutumika k**a vikundi maalumu kwa ajili ya kilimo cha mkataba, kusambaza pembejeo kwamkopo, kufanya mazungumzo ya bei na kutoa ushauri.
- Utafutaji na uunganishaji masoko. HUDUMA YA FEDHA
PASS itawasaidia watu na makampuni yanayostahili kupata mkopo kwa ajili ya uwekezaji wenye faida kupitia Tathmini ya maandiko ya kuombea mkopo kulingana na masharti ya benki husika na kulionganishwa na benki hizo: CRDB, NMB, EXIM,TIB,FBME,KCBL,BOA,ABC, AKIBA COMMERCIAL BANK, n.k. Dhamana ya mkopo ambayo inatolewa kwa benki zenye mikataba ya kushirikiana na PASS ili kujazia upungufu wa dhamana ya mteja. NANI ANAYEWEZA KUOMBA HUDUMA ZA PASS? Mtu binafsi yeyote, Vikundi, Chama au kampuni inaweza kutumia huduma za PASS haswa:
- Wajasiriamali binafsi - ambao ni watu binafsi, vyama au kampuni zinazoshughulika na sekta ya kilimo.
- Wajasiriamali binafsi - ambao wana dira na wanafanya biashara katika hali ya ufanisi na kibiashiara.
- Wajasiriamali binafsi - watakaoshirikiana na PASS na Benki washirika na kuwakilisha nyaraka zinazotakiwa na ambao wanaweza kufikia angalau vigezo vya msingi kwa ajili ya ukopaji. Kipaumbele kitatolewa kwa wateja wenye motekeo makubwa katika mwendelezo wa mnyororo wa thamani wa bidha za kilimo hususani katika mazao ya chakula, biashara na mazao ya kusafirishwa nje ya nchi.

As part of our institutional commitment to Inclusive Green Growth, PASS Trust conducted a tree planting activity at Kisa...
16/05/2026

As part of our institutional commitment to Inclusive Green Growth, PASS Trust conducted a tree planting activity at Kisarawe Secondary School, led by our Director of Finance and Administration Ms. Doreen Mangesho.

This initiative reflects our continued efforts to promote environmental sustainability, climate resilience, and responsible stewardship of natural resources within the communities we serve. Every tree planted is a step toward a healthier and more sustainable Tanzania.

As part of our institutional commitment to Inclusive Green Growth, PASS Trust conducted a tree planting activity at Kisa...
16/05/2026

As part of our institutional commitment to Inclusive Green Growth, PASS Trust conducted a tree planting activity at Kisarawe Secondary School, led by our Director of Finance and Administration.

This initiative reflects our continued efforts to promote environmental sustainability, climate resilience, and responsible stewardship of natural resources within the communities we serve. Every tree planted is a step toward a healthier and more sustainable Tanzania.

At PASS Trust, we honour the dedication and hard work shaping a more inclusive and resilient future.International Worker...
01/05/2026

At PASS Trust, we honour the dedication and hard work shaping a more inclusive and resilient future.

International Workers’ Day

This is the story of how soybean is transforming livelihoods. Through training, access to finance, mechanization and mar...
09/04/2026

This is the story of how soybean is transforming livelihoods. Through training, access to finance, mechanization and market access, farmers are turning soybean into a profitable agribusiness.


Leo tunaenzi na kukumbuka mchango mkubwa wa  kiongozi aliyeweka msingi wa umoja, kujitegemea na maendeleo jumuishi kwa W...
07/04/2026

Leo tunaenzi na kukumbuka mchango mkubwa wa kiongozi aliyeweka msingi wa umoja, kujitegemea na maendeleo jumuishi kwa Watanzania.

Tunawatakia heri ya Sikukuu ya Pasaka.
05/04/2026

Tunawatakia heri ya Sikukuu ya Pasaka.

Tunawatakia Ijumaa Kuu njema
03/04/2026

Tunawatakia Ijumaa Kuu njema

02/04/2026

Kupitia mradi wa kukuza mnyororo wa thamani wa zao la soya ulioanza msimu wa kilimo 2025/2026, wakulima wanarudi mashambani wakiwa na matumaini mapya. Kupitia ushirikiano wa Ubalozi wa Norway nchini Tanzania, PASS Trust, MCODE na AGCOT, sasa wakulima wanapata mbegu bora, mafunzo ya kitaalamu, taarifa sahihi na uhakika wa soko.

Mradi huu unaotekelezwa mkoani Ruvuma unalenga kuongeza kipato, kuimarisha lishe na kujenga mustakabali imara wa jamii kupitia zao la soya.

PASS Trust, kupitia ushiriki wake katika Mkutano Mkuu wa TAWIFA, ilishiriki zoezi la upandaji miti lililoongozwa na Mkur...
27/03/2026

PASS Trust, kupitia ushiriki wake katika Mkutano Mkuu wa TAWIFA, ilishiriki zoezi la upandaji miti lililoongozwa na Mkurugenzi wa Fedha na Utawala, Ms. Doreen Mangesho. Zoezi hili lilifanyika Shule ya Msingi Azania, Majengo, Arusha, k**a sehemu ya dhamira ya PASS Trust kuendeleza utunzaji wa mazingira na kukuza dhana ya kijani shirikishi.
Mbali na miti iliyopandwa shuleni hapo, miche mingine ilisambazwa katika shule nyingine ili kuendeleza athari chanya kwa jamii na vizazi vijavyo.

PASS Trust kupitia mkutano mkuu wa TAWIFA imeendelea kuwafikia wanawake zaidi ya 200, wakijumuisha wajasiriamali wa mtu ...
26/03/2026

PASS Trust kupitia mkutano mkuu wa TAWIFA imeendelea kuwafikia wanawake zaidi ya 200, wakijumuisha wajasiriamali wa mtu mmoja mmoja na vikundi kutoka kilimo, uvuvi, ufugaji na mazao ya misitu.

Mafunzo ya dhamana za mikopo na huduma zitolewazo na PASS Trust ni sehemu ya mwendelezo wa kusaidia wanawake kutatua changamoto katika biashara zao, kukuza ujuzi, kupata mikopo kupitia dhamana, na kuunda biashara endelevu na zenye ushindani.

Address

P. O. Box 9490, PSSSF Commercial Complex, 5th Floor – Wing B, House No. 24, Sam Nujoma Road
Dar Es Salaam
16102

Opening Hours

Monday 08:00 - 17:00
Tuesday 08:00 - 17:00
Wednesday 08:00 - 17:00
Thursday 08:00 - 17:00
Friday 08:00 - 17:00

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Private Agricultural Sector Support - PASS Trust posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Private Agricultural Sector Support - PASS Trust:

Share