01/06/2026
Mnamo tarehe 30 Mei 2026, Mkombozi Commercial Bank ilijivunia kushiriki katika msimu wa tatu wa Pugu Marathon 2026 k**a Mdhamini Mkuu wa mbio za kilomita 21.
Ushiriki wetu katika tukio hili unaakisi dhamira ya benki kuendelea kushirikiana na jamii katika kuhamasisha afya, ustawi na maendeleo endelevu. Tunaamini kuwa kupitia ushirikiano huu, tunaimarisha mahusiano yetu na jamii tunayoihudumia huku tukichangia katika kujenga Tanzania yenye afya na nguvu zaidi.
Tunawashukuru waandaaji, washiriki na wadau wote waliofanikisha tukio hili kuwa la mafanikio makubwa.