CRDB Bank Plc

CRDB Bank Plc The Bank has a robust IT platform and maintains a leading edge in the sphere of technology and innovations (extensive delivery channels).

CRDB Bank is the leading financial institution in Tanzania with strong presence in Corporate banking, Small and Medium Enterprises Banking, Individual Banking and Microfinance Banking. CRDB Bank PLC is the leading banking institution in Tanzania in terms of assets, loans & advances and customer deposits, with an ambition to expand its footprint in the wider East Africa region. Besides playing an

influential role in the socio-economic development of the country, CRDB Bank consistently relies on its sound business model to pursue a sensible diversification strategy, alongside consolidating and improving its banking operations. Reflective of its corporate philosophy, CRDB Bank remains intent on providing ever-improving levels of customer experience as well as state-of-the-art financial solutions to individual and corporate clients. Epitomising its outstanding brand, CRDB Bank keeps on building lasting relationships with all its stakeholders. The Group offers a comprehensive range of corporate, retail, business, treasury, premier, wholesale banking and microfinance services through a network of 199 static and mobile branches, 432 ATMs including 18 Depository ATMs, 778 Point of Sale (POS) terminals, 1,746 Agents (FahariHuduma) and 441partner Microfinance institutions. The innovative network plan enhances Group’s ability to provide cost effective service delivery across Tanzania. CRDB Bank Plc (The Bank) is a Public Company limited by shares which was incorporated in the United Republic of Tanzania in 1996 under the Companies Act, CAP 212 Act No.12 and was listed on the Dar Es Salaam Stock exchange (DSE) on 17th June 2009. It has established two wholly owned subsidiaries namely CRDB Microfinance Services Company Limited incorporated in the United Republic of Tanzania in 2007 and CRDB Bank Burundi S.A. incorporated in the Republic of Burundi in 2012

Bukoba wazima wanawasalimia 😊Bonge la ruti hadi Bukoba tukiwa na mipango kibao k**a vile SimBanking 📲, Akaunti, TemboCar...
06/06/2026

Bukoba wazima wanawasalimia 😊

Bonge la ruti hadi Bukoba tukiwa na mipango kibao k**a vile SimBanking 📲, Akaunti, TemboCard Visa 💳, Lipa Hapa, na zawadi kwa ajili ya maswahiba zetu.

Hii ni kuhakikisha huduma za kifedha zinafika kila kona.



Andaa visweta 🧥🥼tunaenda Ulaya 🏰 Lipia shopping 🛍️ zako zote kwa Lipa Hapa ndani ya SimBanking 📲 uingie kwenye droo za m...
06/06/2026

Andaa visweta 🧥🥼tunaenda Ulaya 🏰

Lipia shopping 🛍️ zako zote kwa Lipa Hapa ndani ya SimBanking 📲 uingie kwenye droo za mkwanja💰 kila wiki, mwezi au safari za Ulaya 🏰 na Serengeti 🦁 🐘



Benki ya CRDB imedhamini na kushiriki Maonyesho ya Utalii ya KILI FAIR 2026 yanayofanyika katika Viwanja vya Magereza, A...
05/06/2026

Benki ya CRDB imedhamini na kushiriki Maonyesho ya Utalii ya KILI FAIR 2026 yanayofanyika katika Viwanja vya Magereza, Arusha, yakikutanisha wadau mbalimbali wa sekta ya utalii kutoka ndani na nje ya nchi.

Katika ufunguzi wa maonyesho hayo Mgeni Rasmi Dkt. Thereza Mugobi, Mkurugenzi wa Utalii Tanzania, alitembelea banda la Benki ya CRDB na kupokea maelezo kuhusu huduma mbalimbali zinazotolewa na benki kwa wadau wa sekta ya utalii toka kwa Meneja wa Biashara wa Kanda ya Kaskazini Emmanuel Kafui.

Kupitia maonyesho hayo, Benki ya CRDB inaonesha suluhisho mbalimbali za kifedha zinazowezesha ukuaji wa sekta ya utalii ikiwemo mikopo ya ununuzi wa magari ya utalii, mikopo ya ujenzi na upanuzi wa hoteli, huduma za bima, pamoja na huduma za kubadili fedha za kigeni. Aidha, benki imeweka Tawi Linalotembea (Mobile Branch) katika eneo la maonyesho ili kuwawezesha washiriki na wageni kupata huduma za kibenki kwa urahisi ikiwemo kubadili fedha za kigeni na huduma nyingine za kifedha.

Ushiriki wa Benki ya CRDB katika Kili Fair 2026 unaendelea kuonesha dhamira ya benki katika kuunga mkono ukuaji wa sekta ya utalii ambayo ni moja ya nguzo muhimu za uchumi wa Tanzania.


Maokoto 💰ya Mwezi yametoka! Leo imefanyika droo ya kuwapata washindi wa mwezi . Washindi 100 wa elfu 50,000 💰 na washind...
05/06/2026

Maokoto 💰ya Mwezi yametoka!

Leo imefanyika droo ya kuwapata washindi wa mwezi . Washindi 100 wa elfu 50,000 💰 na washindi 16 wa Smartphone 📱 . Droo iliongozwa na Meneja mwandamizi kitengo cha malipo mtandaoni, Bw Fedelis Mwiyuliza pamoja na balozi wetu

‎Endelea kufanya miamala yako kwa SimBanking 📲 inakupa nafasi ya kujishindia safari ya kwenda Ulaya🏰🌍, safari ya kwenda mbugani serengeti🐘, pesa kila wiki na kila mwezi 🤑🫰💸 huku wanafunzi wa chuo wenye Scholar Account ya CRDB, wakijishindia Ipad, Laptop💻, Mkwanja kila Jumatatu💸 na smarphone kali.📱



Let’s Konekt ndani ya  Career Fair 2026 CBE Benki ya CRDB imeshiriki katika kongamano la Career Fair kwenye chuo cha CBE...
05/06/2026

Let’s Konekt ndani ya Career Fair 2026 CBE

Benki ya CRDB imeshiriki katika kongamano la Career Fair kwenye chuo cha CBE kampasi ya Dar es Salaam . Ambapo Mgeni rasmi alikuwa ni Naibu Waziri wa viwanda na Biashara , Mh Denis Londo ( MB) aliyeambatana na uongozi wa chuo cha CBE ukiongozwa na Prof Zacharia Mganilwa , Mwenyekiti wa bodi ya usimamizi wa chuo . Kongamano hili lilihusisha wabunifu na wajasiriamali wakitanzania wenye biashara bunifu na za kipekee.

Benki yetu iliwakilishwa na Bi Grace Kilasara , Meneja kitengo cha vijana, Bi Junes Adam , Afisa kitengo cha vijana na Emmanuel Kaganda ,Meneja mwanandmizi kitengo cha Bima .



05/06/2026

Andaa macho 👀 yako maokoto ya Mwezi yanatoka leo.

Mpango wa kuwapata Washindi 100 wa 50,000 💰Washindi wa 16 Smartphone 📱 upo leo saa tisa mchana



Aliyekwambia unapitwa nani? Mpango upo live kuanzia saa tisa kimili.Tufatilie live kwenye kurasa yetu ya Instagram  kish...
05/06/2026

Aliyekwambia unapitwa nani?

Mpango upo live kuanzia saa tisa kimili.

Tufatilie live kwenye kurasa yetu ya Instagram kisha tufollow mapema . Tukutane leo saa tisa kamili



Fanya mpango wa kutuma pesa bongo!🌐🌎Rahisisha kutuma pesa kwa kutumia washirika wetu wa kuaminika hapa BongoHaraka, Sala...
04/06/2026

Fanya mpango wa kutuma pesa bongo!🌐🌎

Rahisisha kutuma pesa kwa kutumia washirika wetu wa kuaminika hapa Bongo

Haraka, Salama, Bila Mipaka
Karibu Tawi lolote la Benki ya CRDB kupokea pesa bure.



04/06/2026

Tag anayestahili kupewa Mic 🎤✨ kwenye CRDB Bank Bongo Star Search

Tangu uzinduzi wa CRDB Bank Bongo Star Search 2026, hamasa bado inaendelea na tumejidhatiti kutimiza ndoto za vijana wenye vipaji kuonekana. Msimu huu ni zaidi ya kusaka vipaji. Ni safari ya kukuza ndoto, kujifunza, kujiamini na kujiandaa kwa hatua inayofuata ya mafanikio. Tunafurahia kuwa sehemu ya jukwaa linalounganisha vipaji na fursa kupitia Konekt na CRDB pamoja na CRDB Bongo Star Search 2026

Safari ndiyo imeanza... 👀





Hati fungani za makampuni zinaendelea kuwa sehemu muhimu ya fursa za uwekezaji nchini Tanzania.Ijumaa hii, ungana nasi k...
04/06/2026

Hati fungani za makampuni zinaendelea kuwa sehemu muhimu ya fursa za uwekezaji nchini Tanzania.

Ijumaa hii, ungana nasi kwenye darasa maalum la kuelewa corporate bonds, mambo ya kuzingatia kabla ya kuwekeza, na fursa iliyopo kwenye iTrust Bond. iTrust Bond inatoa riba ya 13% kwa mwaka, inayolipwa kila robo mwaka.

Tarehe: 05 Juni 2026
Muda: 12 jioni hadi 2 usiku
Jukwaa: Microsoft Teams
Direct join link: Kwenye Bio yetu ya IG
Meeting ID: 386 155 782 782 690
Passcode: i72uK3NC


Address

Azikiwe Street, P. O Box 268
Dar Es Salaam
255

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when CRDB Bank Plc posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to CRDB Bank Plc:

Share