28/12/2024
Katika kufunga Mwaka 2024 na kuukaribisha Mwaka mpya 2025, Wicom Finance imefanya Mkutano mkuu wa Kampuni uliokuwa na mkakati wa kuboresha huduma zitolewazo na kampuni hii.
Mkutano huu uliofanyika katika Wilaya ya Masasi Mkoani Mtwara, umehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa kampuni na wafanyakazi wote wa WICOM FINANCE kutoka matawi mbalimbali kote Nchini.
Wicom Finance Together tunasonga mbele.