SMB Consulting

SMB Consulting Stocks Trading

09/12/2025

Happy independence day to everyone

07/12/2025

Nimekua nikivutiwa zaidi na njia za kuongeza kipato kwa kutumia mtandao, nimejaribu mbinu nyingi na k**a wewe si mgeni katika ukarasa wangu utakua unakumbuka nilipotoka. Hapa nilipo sasa nitabakisa sana na bila shaka nitashea elimu hii nawe

07/12/2025

Hi guys, I'm back again after a long break

Hii Ndio Sababu Moja Kuu iliyonifanya niondoke Canada nikiwa maskini na kurudi kuja kuishi Tanzania k**a Mfalme.Ndugu ms...
06/12/2025

Hii Ndio Sababu Moja Kuu iliyonifanya niondoke Canada nikiwa maskini na kurudi kuja kuishi Tanzania k**a Mfalme.

Ndugu msomaji

Hujakosea kusoma kichwa cha habari

Najua unaweza ukadhani nimerogwa

Au nimechanganyikiwa

Lakini ndani ya dakika 3 zijazo

Utabaki mdomo wazi na kujiuliza mara mbili

Ungekua wewe ungefanya uamuzi gani

Vijana wengi wana ndoto za kwenda Mamtoni kutafuta maisha

Mimi sio watofauti, pia nilitamani kwenda mamtoni na nilijaaliwa kufika nchi za dunia ya kwanza

Mwaka 2023 mwezi December tarehe 22 nilifanikiwa kuingia nchini Canada kwa mara yangu ya kwanza

K**a yalivyo matarajio ya wengi kwamba Canada kuna kazi nyingi, fursa kila kona na mimi nilitarajia hivyo

Lakini baada ya kufika nchini humo hali ilikua ya tofauti sana

Kupata kazi ilikua ni changamoto mno

Nilihangaika kutafututa kazi kwa takribani miezi miwili lakini sikufanikiwa kupata

Lakini hata vijana wa Kitanzania niliowakuta huko na wenye kazi walilazimika kuishi maisha ya chini sana ili kipato chao kiweze kukidhi mahitaji

Hali ile ilinifanya nitafakari kwa kina na kujiuliza mara mbilli k**a yale ndio maisha ninayohitaji kuyaishi au nipo sehemu isiyo sahihi?

Kitu kilichonitia hofu zaidi ni kwamba

Hata watu waliofika pale kitambo bado maisha yao hayakua na mabadiliko yakushtusha k**a vile inavyodhaniwa na watu waliobaki huku Africa

Ni sawa na kusema mtu amekimbia kuwa maskini wa bongo na kwenda kuwa maskini wa Canada

Umaskini wa kule ni mbaya sana hakuna mambo ya kuombana chumvi

Sasa kitu cha kujiuliza ni kwamba inakuaje mtu anaenda nchi yenye fursa za kila aina za kuyabadilisha maisha yake na anaishia kuwa maskini wa huko?

Unyonge wa aina hiyo mimi niliukataa mapema na ikabidi nianze kujichanganya na wazungu

Ndipo rafiki yangu Mr. Alex alipoitambulisha kwangu Channel ya Youtube ya Warrior Trading inayomilikiwa na Ross Cameron

Ukiingiia kwenye channel yake utashangazwa na thumbnail za video zake zenye kuonesha kiasi cha pesa anachotengeneza kila siku anayoingia sokoni( Jana tar 05/12 ametengeneza dola za marekani 37k)

Kwa mtu yoyote ambaye ni mgeni wa kazi anayoifanya Ross kwa haraka anaweza kujichanganya akasema Ross ni SCAMMER au tapeli

Lakini si hivyo!

Ross anafanya biashara ya kununua na kuuza hisa katika soko la marekani

Kwa lugha ya kimombo inaitwa Stocks Day Trading

Baada ya kufatilia biashara hiyo na kumfatilia Ross nikagundua ni biashara ambayo hata mimi ningeweza kujifunza na nikaingiza kipato nikiwa mahala popote ulimwenguni

Sikuwa na muda wa kupoteza

Nikaanza kujifunza na hadi kufikia kuanza kutrade mimi mwenyewe nikiwa pale pale Victoria Ave, Toronto Canada

Sasa kitu cha ajabu ni kwamba mahala nilipofika walikuwepo vijana wa kitanzania

Na waliweza kuona process nzima tokea najifunza hadi naanza kupata hela na kuanza kuchangia bills za nyumba

Lakini wao hawakuwahi kujifunza kwangu hadi naondoka pengine Ego maana inakuaje kijana aje mgeni mara aanze kupiga hela kutushinda hahah maisha hayendi hivyo

Badala yake wakati mimi nikiwa kwenye screen yangu nikifanya Trading wao walikua wakienda kwenye kazi zao ambazo hadi siku inaisha anarudi nyumbani hajafikisha hata dola 200 ya Canada na amechoka hoi hatamaniki na kesho anaenda tena (Utaona picha ya Trading Setup yangu hapo chini)

Wakati mimi siku hiyo nimeshatengeneza dola za Marekani 300-400 tena ndani ya masaa 2 tu ya kushiriki sokoni

Hapo ndipo nilipogundua siko mahala sahihi

Vita ya mindset waliyopigwa watu imewaathiri sana kufikia kuamini maisha hayawezakani hadi utumwe na mzungu

Mimi nilijiambia HAPANA kwa herufi kubwa

Mzungu hatokuja kunituma, alishawatumikisha babu zetu inatosha

Ndipo nilipofanya maamuzi (hayakua magumu) ya kurudi Tanzania ili niendee kukamua kwenye soko la hisa nikiwa huru zaidi pamoja na familia yangu nikiishi maisha niyatakayo at affordable price

Hadi kufikia leo hii nadiriki kusema moja ya uamuzi bora kuufanya kwenye maisha yangu ni kuchagua kurudi Tanzania

Faida nazopata nikitrade nikiwa Tanzania ni nyingi mojawapo ni kwamba

Nikitrade hapa napata faida kwenye mfumo wa dola ya Marekani na nikitumia nafanya matumizi katika TZS na wewe unajua zaidi rate ya sasa ya dola moja ni Tsh 2500

K**a nikiamua kwa siku nitumie dola 100 Quality ya maisha nayoishi ni luxurious sana kuliko kutumia pesa hiyo hiyo kwa maisha ya Canada

Ndugu msomaji,

nakuwekea hapo chini baadhi ya picha zanugu nikiwa Canada, sio masihara niliamua kurudi kwakua Canada did not make sense anymore to me considering malengo yangu ya maisha. Channel ya hela nilishaipata

Sasa kila mtu ana lengo lake kwenye haya maisha

Mwingine lengo lake ni kuishi mbele haijalishi maisha ya aina gani

Wengine malengo yetu ni kuishi comfortable life tukiwa pamoja na tuwapendao

Uamuzi ni wako.

Unaweza kujiuliza je unahitaji Mtaji kiasi gani hadi uweze kuanza Kutrade hisa za Marekani.

Jawabu ni simple sana, hauhitaji mtaji wowote kuanza kushiriki kwenye soko hili la hisa, unachohitaji ni elimu ya kutrade

Na ukishapta elimu ziko kampuni ambazo zinatoa funds kwa watu wenye skills ili watrade kwa mitaji yao na mwisho wa siku wagawane faida

Lakini kabla ya wao kuwekeza kwako lazima uthibitishe uwezo wako wa kutrade kwa wao kukupa mtihani ukishaufaulu ndipo wanakupa mtaji wao.

Baada ya kuwepo sokoni kwa muda wa miaka miwili

Trading system yangu ime-evolve kwa kiasi kikubwa

Ni kinyume kabisa na vile mentor wangu Ross Cameron anavyotrade

Na kwa sasa nina confidence ya kuanza kutoa elimu kwa wengine

Na wewe hautakua wa kwanza, kwani tayari kuna vijana wengi niliokwisha wapa elimu na sasa wanafanya vizuri mno sokoni

Nimeandaa free content nyingi katika mtindo wa video na ziko youtube kwenye channel yangu

Jina la Channel ni Saidi Mbondela

Baada ya kutazama hizo content za BURE na ukahisi unahitaji kujifunza zaidi basi usisite kutembelea community yetu ya WhatsApp ambako huko tunatoa msaada wa karibu kwa watu ambao wengependa kujifunza zaidi

Kujiunga kwenye community yetu ni rahisi sana

Unachoytakiwa kufanya ni kubonya button ya “Learn More” hapo chini kujiunga

Au niandikie ujumbe kwenye whatsapp yangu neno “NIUNGE COMMUNITY YA TRADING” nikuunge

26/08/2024

Mitaa ya Korea nyakati za usiku.

03/08/2024

Hatusimuliwi, tunafika kujionea.

Nikiwa pearson international Airport.

14/07/2024

Union Bus Station.

Hiki ni kituo kikubwa cha mabus na treni ziendazo nje ya Mji wa Toronto hapa Canada.

Je kinafanana na kituo cha mji uliopo?

K**a unatata kuhamia Canada wewe na familia yako na una bachelor degree karibu ofisini nikupe ushauri. Kwa sasa nafasi z...
08/06/2024

K**a unatata kuhamia Canada wewe na familia yako na una bachelor degree karibu ofisini nikupe ushauri. Kwa sasa nafasi za kuonana nami zipo kuanzia tar 20-30 June. Baada ya hapo nirarejea Canada.

Consultation fee ni $50.

05/05/2024

Mzazi hua unazingatia nini wakati unapomtafutia mwanao chuo nje ya nchi? Huu hapa ushauri wangu usikilize kwa makini

04/05/2024

K**a ulikua na mpango wa kuja Canada kutafuta MAISHA jitahidi ufanye Application ya VISA kabla ya mwezi september mwaka huu. Sikiliza kwa makini maelezo yangu kwenye video

Address

Salasala
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when SMB Consulting posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category