06/12/2025
Hii Ndio Sababu Moja Kuu iliyonifanya niondoke Canada nikiwa maskini na kurudi kuja kuishi Tanzania k**a Mfalme.
Ndugu msomaji
Hujakosea kusoma kichwa cha habari
Najua unaweza ukadhani nimerogwa
Au nimechanganyikiwa
Lakini ndani ya dakika 3 zijazo
Utabaki mdomo wazi na kujiuliza mara mbili
Ungekua wewe ungefanya uamuzi gani
Vijana wengi wana ndoto za kwenda Mamtoni kutafuta maisha
Mimi sio watofauti, pia nilitamani kwenda mamtoni na nilijaaliwa kufika nchi za dunia ya kwanza
Mwaka 2023 mwezi December tarehe 22 nilifanikiwa kuingia nchini Canada kwa mara yangu ya kwanza
K**a yalivyo matarajio ya wengi kwamba Canada kuna kazi nyingi, fursa kila kona na mimi nilitarajia hivyo
Lakini baada ya kufika nchini humo hali ilikua ya tofauti sana
Kupata kazi ilikua ni changamoto mno
Nilihangaika kutafututa kazi kwa takribani miezi miwili lakini sikufanikiwa kupata
Lakini hata vijana wa Kitanzania niliowakuta huko na wenye kazi walilazimika kuishi maisha ya chini sana ili kipato chao kiweze kukidhi mahitaji
Hali ile ilinifanya nitafakari kwa kina na kujiuliza mara mbilli k**a yale ndio maisha ninayohitaji kuyaishi au nipo sehemu isiyo sahihi?
Kitu kilichonitia hofu zaidi ni kwamba
Hata watu waliofika pale kitambo bado maisha yao hayakua na mabadiliko yakushtusha k**a vile inavyodhaniwa na watu waliobaki huku Africa
Ni sawa na kusema mtu amekimbia kuwa maskini wa bongo na kwenda kuwa maskini wa Canada
Umaskini wa kule ni mbaya sana hakuna mambo ya kuombana chumvi
Sasa kitu cha kujiuliza ni kwamba inakuaje mtu anaenda nchi yenye fursa za kila aina za kuyabadilisha maisha yake na anaishia kuwa maskini wa huko?
Unyonge wa aina hiyo mimi niliukataa mapema na ikabidi nianze kujichanganya na wazungu
Ndipo rafiki yangu Mr. Alex alipoitambulisha kwangu Channel ya Youtube ya Warrior Trading inayomilikiwa na Ross Cameron
Ukiingiia kwenye channel yake utashangazwa na thumbnail za video zake zenye kuonesha kiasi cha pesa anachotengeneza kila siku anayoingia sokoni( Jana tar 05/12 ametengeneza dola za marekani 37k)
Kwa mtu yoyote ambaye ni mgeni wa kazi anayoifanya Ross kwa haraka anaweza kujichanganya akasema Ross ni SCAMMER au tapeli
Lakini si hivyo!
Ross anafanya biashara ya kununua na kuuza hisa katika soko la marekani
Kwa lugha ya kimombo inaitwa Stocks Day Trading
Baada ya kufatilia biashara hiyo na kumfatilia Ross nikagundua ni biashara ambayo hata mimi ningeweza kujifunza na nikaingiza kipato nikiwa mahala popote ulimwenguni
Sikuwa na muda wa kupoteza
Nikaanza kujifunza na hadi kufikia kuanza kutrade mimi mwenyewe nikiwa pale pale Victoria Ave, Toronto Canada
Sasa kitu cha ajabu ni kwamba mahala nilipofika walikuwepo vijana wa kitanzania
Na waliweza kuona process nzima tokea najifunza hadi naanza kupata hela na kuanza kuchangia bills za nyumba
Lakini wao hawakuwahi kujifunza kwangu hadi naondoka pengine Ego maana inakuaje kijana aje mgeni mara aanze kupiga hela kutushinda hahah maisha hayendi hivyo
Badala yake wakati mimi nikiwa kwenye screen yangu nikifanya Trading wao walikua wakienda kwenye kazi zao ambazo hadi siku inaisha anarudi nyumbani hajafikisha hata dola 200 ya Canada na amechoka hoi hatamaniki na kesho anaenda tena (Utaona picha ya Trading Setup yangu hapo chini)
Wakati mimi siku hiyo nimeshatengeneza dola za Marekani 300-400 tena ndani ya masaa 2 tu ya kushiriki sokoni
Hapo ndipo nilipogundua siko mahala sahihi
Vita ya mindset waliyopigwa watu imewaathiri sana kufikia kuamini maisha hayawezakani hadi utumwe na mzungu
Mimi nilijiambia HAPANA kwa herufi kubwa
Mzungu hatokuja kunituma, alishawatumikisha babu zetu inatosha
Ndipo nilipofanya maamuzi (hayakua magumu) ya kurudi Tanzania ili niendee kukamua kwenye soko la hisa nikiwa huru zaidi pamoja na familia yangu nikiishi maisha niyatakayo at affordable price
Hadi kufikia leo hii nadiriki kusema moja ya uamuzi bora kuufanya kwenye maisha yangu ni kuchagua kurudi Tanzania
Faida nazopata nikitrade nikiwa Tanzania ni nyingi mojawapo ni kwamba
Nikitrade hapa napata faida kwenye mfumo wa dola ya Marekani na nikitumia nafanya matumizi katika TZS na wewe unajua zaidi rate ya sasa ya dola moja ni Tsh 2500
K**a nikiamua kwa siku nitumie dola 100 Quality ya maisha nayoishi ni luxurious sana kuliko kutumia pesa hiyo hiyo kwa maisha ya Canada
Ndugu msomaji,
nakuwekea hapo chini baadhi ya picha zanugu nikiwa Canada, sio masihara niliamua kurudi kwakua Canada did not make sense anymore to me considering malengo yangu ya maisha. Channel ya hela nilishaipata
Sasa kila mtu ana lengo lake kwenye haya maisha
Mwingine lengo lake ni kuishi mbele haijalishi maisha ya aina gani
Wengine malengo yetu ni kuishi comfortable life tukiwa pamoja na tuwapendao
Uamuzi ni wako.
Unaweza kujiuliza je unahitaji Mtaji kiasi gani hadi uweze kuanza Kutrade hisa za Marekani.
Jawabu ni simple sana, hauhitaji mtaji wowote kuanza kushiriki kwenye soko hili la hisa, unachohitaji ni elimu ya kutrade
Na ukishapta elimu ziko kampuni ambazo zinatoa funds kwa watu wenye skills ili watrade kwa mitaji yao na mwisho wa siku wagawane faida
Lakini kabla ya wao kuwekeza kwako lazima uthibitishe uwezo wako wa kutrade kwa wao kukupa mtihani ukishaufaulu ndipo wanakupa mtaji wao.
Baada ya kuwepo sokoni kwa muda wa miaka miwili
Trading system yangu ime-evolve kwa kiasi kikubwa
Ni kinyume kabisa na vile mentor wangu Ross Cameron anavyotrade
Na kwa sasa nina confidence ya kuanza kutoa elimu kwa wengine
Na wewe hautakua wa kwanza, kwani tayari kuna vijana wengi niliokwisha wapa elimu na sasa wanafanya vizuri mno sokoni
Nimeandaa free content nyingi katika mtindo wa video na ziko youtube kwenye channel yangu
Jina la Channel ni Saidi Mbondela
Baada ya kutazama hizo content za BURE na ukahisi unahitaji kujifunza zaidi basi usisite kutembelea community yetu ya WhatsApp ambako huko tunatoa msaada wa karibu kwa watu ambao wengependa kujifunza zaidi
Kujiunga kwenye community yetu ni rahisi sana
Unachoytakiwa kufanya ni kubonya button ya “Learn More” hapo chini kujiunga
Au niandikie ujumbe kwenye whatsapp yangu neno “NIUNGE COMMUNITY YA TRADING” nikuunge