Express Loan

Express Loan Kopa Fasta ni kampuni ya utoaji mikopo inayolenga kusaidia wafanyabiashara wadogo na wakubwa pia inatoa mikopo kwa waajiriwa wa serikali na kampuni binafsi.

Express Loan ni kampuni ya utoaji mikopo inayolenga kusaidia wafanyabiashara wadogo na wakubwa pia inatoa mikopo kwa waajiriwa wa serikali na kampuni binafsi. Tunatoa mkopo wa dharura kiasi cha Tsh. 1,000,000 (Million moja) hadi Tsh. 5,000,000 (Million tano) kwa mtu yoyote mwenye kuhitaji mkopo. Mkopo huu wa dharura tunatoa kwa njia ya Online (mtandaoni) kupitia hii tovuti yetu ya kampuni. Kujiung

a Online katika mtandao ni njia rahisi ya kupata mkopo. Tumempa uhuru kila Mtanzania kujiunga katika mtandao huu kwa mapendekezo ya hiari mteja anaweza kujiunga akiwa mahali popote pale pia inamrahisishia mteja kupokea mkopo popote pale alipo. Mteja anaweza kujiunga kupitia Intaneti kwenye simu yake au kompyuta yake akiwa popote pale muda wowote ule na akapata mkopo wake. Ndani ya dakika 30 bila usumbufu wowote ule.

Address

21 Garden Road, Mikocheni
Dar Es Salaam
1100

Opening Hours

Monday 07:00 - 17:45
Tuesday 07:00 - 17:45
Wednesday 07:00 - 17:45
Thursday 07:00 - 17:45
Friday 07:00 - 17:45
Saturday 09:30 - 14:00
Sunday 09:30 - 14:00

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Express Loan posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share

Category