LOLC Tanzania

LOLC Tanzania LOLC Tanzania is a Microfinance company, offering financial products through individual lending. na moja Mwanza. and one in Mwanza.

Tujijenge Tanzania ilianzishwa na Tujijenge Afrika, ikiwa na maono ya kuwa kinara katika utoaji wa huduma za kifedha zinazojali, zinazozingatia wateja, na kwa maadili ya msingi ya uwazi, uadilifu, uendelevu, heshima, kazi ya pamoja na uwezeshaji. Tumejitolea kushawishi maisha ya wanachama wetu kwa njia chanya, kwa huduma za kifedha zinazolenga wateja ambazo zinawaathiri kibinafsi na pia biashara z

ao na jamii pana. Tunaamini kuwa hitaji la huduma ndogo za kifedha barani Afrika linaweza kufikiwa tu ikiwa ni endelevu kifedha. Ili kufanikisha hili, muundo wetu wa kumiliki hisa unajumuisha watu binafsi na wanahisa wa makampuni k**a vile Oikocredit na Progression Eastern Africa Microfinance Equity Fund. Tangu kuanza kazi Julai 2006, kwa sasa tunafanya kazi kupitia mtandao wa matawi matano, ambayo manne kati yake yapo Dar es Salaam (pamoja na makao makuu yetu), moja mkoani Mara. Tujijenge Tanzania was set up by Tujijenge Afrika, with the vision of being a leader in the provision of caring, customer-focused financial services, and with the core values of transparency, integrity, sustainability, respect, teamwork, and empowerment. We are committed to positively influence the lives of our members, with customer-focused financial services that impact them individually as well as their enterprises and the wider community. We believe that the need for microfinance services in Africa can only be met if they are financially sustainable. To achieve this, our shareholding structure includes individuals and corporate shareholders such as Oikocredit and Progression Eastern Africa Microfinance Equity Fund. From beginning operations in July 2006, we are currently operating through a network of five branches, of which four are in Dar es Salaam (including our headquarters), one in Mara.

Wamiliki wa daladala na wafanyabiashara ya usafirishaji:-Unaweza kupata mkopo wa daladala au coaster kwa hadi asilimia 5...
24/02/2026

Wamiliki wa daladala na wafanyabiashara ya usafirishaji:-
Unaweza kupata mkopo wa daladala au coaster kwa hadi asilimia 50% ya thamani ya gari.
Tupigie sasa: 0677 045 056
*Vigezo na Masharti kuzingtiwa

Hamna haja ya kusubiri sana, unaweza kumiliki gari lako sasa.LOLC Tanzania tutakuwezesha mkopo wa hadi 65% ya thamani ya...
18/02/2026

Hamna haja ya kusubiri sana, unaweza kumiliki gari lako sasa.
LOLC Tanzania tutakuwezesha mkopo wa hadi 65% ya thamani ya gari ndani ya saa 72 tu.
Tupigie: 0677 045 056
*Vigezo na Masharti kuzingatiwa*

LOLC Tanzania Financial Services Ltd, kupitia kwa wakala wake Sepco Ltd watauza gari kwa njia ya mnada wa hadharaTarehe:...
16/02/2026

LOLC Tanzania Financial Services Ltd, kupitia kwa wakala wake Sepco Ltd watauza gari kwa njia ya mnada wa hadhara
Tarehe: 18/02/2026
Eneo: Tabata Kimanga
Kwa maelezo zaidi piga:
+255718068335 |+255715683 777
*Vigezo na Masharti kuzingatiwa

Je unauhitaji wa mkopo kwa ajili ya Biashara?LOLC Tanzania tunakuwezesha kupata mkopo wa biashara wa hadi milioni 150 kw...
13/02/2026

Je unauhitaji wa mkopo kwa ajili ya Biashara?
LOLC Tanzania tunakuwezesha kupata mkopo wa biashara wa hadi milioni 150 kwa dhamana ya gari/magari.
Marejesho ni hadi miaka 3 (miezi 36)
Tupigie: 0677 045 056
*Vigezo na Masharti kuzingatiwa

Nogesha upendo kwa kila umpendaye.Kwa dhamana ya gari, tunakuwezesha kupata mkopo wa hadi Tzs milioni 100.Lipa kidogo ki...
10/02/2026

Nogesha upendo kwa kila umpendaye.
Kwa dhamana ya gari, tunakuwezesha kupata mkopo wa hadi Tzs milioni 100.
Lipa kidogo kidogo hadi miezi 36
Tupigie: 0677 045 056
*Vigezo na Masharti kuzingatiwa

Geuza upendo kuwa tukio muhimu Valentine hii.LOLC Tanzania inakuwezesha kumzawadia mpendwa wako gari.Lipa asilimia 35% t...
09/02/2026

Geuza upendo kuwa tukio muhimu Valentine hii.
LOLC Tanzania inakuwezesha kumzawadia mpendwa wako gari.
Lipa asilimia 35% tu, nasi tutamalizia hadi asilimia 65% ya gharama iliyobaki.

Tupo tayari kukua na wewe.Pata mkopo wa Biashara, Mkopo wa gari au Mkopo kwa matumizi binafsi.Dhamana ni gari
05/02/2026

Tupo tayari kukua na wewe.
Pata mkopo wa Biashara, Mkopo wa gari au Mkopo kwa matumizi binafsi.
Dhamana ni gari

PATA MKOPO:-1. Mkopo wa kununulia gari (Jipya au Lililotumika)2. Mkopo wa Biashara3. Mkopo wa matumizi Binafsi
30/01/2026

PATA MKOPO:-
1. Mkopo wa kununulia gari (Jipya au Lililotumika)
2. Mkopo wa Biashara
3. Mkopo wa matumizi Binafsi

Mpendwa mteja, K**a umekidhi vigezo una nafasi sawa ya kupata mkopo.Tunaamini katika uaminifu na usawa, Usitoe Rushwa il...
26/01/2026

Mpendwa mteja, K**a umekidhi vigezo una nafasi sawa ya kupata mkopo.
Tunaamini katika uaminifu na usawa, Usitoe Rushwa ili kupata mkopo.
Tupigie: 0677 045 056
Hotline: 0739611612

Tunakuwezesha kumiliki gari la ndoto yako kwa mkopo wa hadi asilimia 65 ya thamani ya gari.Tupigie leo: 0677 045 056*Vig...
24/01/2026

Tunakuwezesha kumiliki gari la ndoto yako kwa mkopo wa hadi asilimia 65 ya thamani ya gari.
Tupigie leo: 0677 045 056
*Vigezo na Masharti kuzingatiwa

SIMU MOJA TU UNAMILIKI GARI!Kwa mfanyabiashara au mwajiriwa wa sekta binafsi au serikalini tupigie sasa upate mkopo wa g...
14/01/2026

SIMU MOJA TU UNAMILIKI GARI!
Kwa mfanyabiashara au mwajiriwa wa sekta binafsi au serikalini tupigie sasa upate mkopo wa gari.
Rahisi na nafuu.
TUPIGIE SASA: 0677 045 056
*Vigezo na Masharti kuzingatiwa

Address

Derm Complex, P. O. Box 22320, New Bagamoyo Road
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 08:00 - 17:00
Tuesday 08:00 - 17:00
Wednesday 08:00 - 17:00
Thursday 08:00 - 17:00
Friday 08:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 14:00

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when LOLC Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to LOLC Tanzania:

Share

Category