13/08/2026
# # # NAFASI YA KAZI: RECEPTIONIST
AMACHA CREDIT (T) LIMITED inakaribisha maombi kutoka kwa **Msichana/ Mwanamke mwenye sifa, uwezo na nidhamu** kwa nafasi ya **RECEPTIONIST**.
**Sifa na Uwezo:**
* Awe na elimu na ujuzi unaohusiana na nafasi hiyo.
* Awe na uwezo mzuri wa kuwasiliana na wateja.
* Awe mchangamfu, mwenye heshima na mwonekano nadhifu.
* Awe na uwezo wa kutumia kompyuta.
* Awe na uwezo wa kufanya kazi kwa ufanisi chini ya usimamizi mdogo.
* Uzoefu wa kazi katika nafasi ya Receptionist utakuwa ni faida.
**Jinsi ya Kutuma Maombi:**
Waombaji wenye sifa wanakaribishwa kutuma maombi yao pamoja na CV kupitia njia iliyoainishwa na AMACHA CREDIT (T) LIMITED.
**Mwisho wa kutuma maombi:** 18/8/2026
**Kituo cha Kazi:** Dar Es Salaam