Dexter Insurance

Dexter Insurance About us
Dexter Insurance is uniquely positioned to provide our clients quality insurance services w

๐๐ข๐ฆ๐š ๐ฒ๐š ๐š๐Ÿ๐ฒ๐š ๐ค๐ฎ๐ญ๐จ๐ค๐š  ๐ข๐ง๐š๐ค๐ฎ๐ฉ๐š ๐Ÿ๐š๐ข๐๐š ๐ณ๐ข๐Ÿ๐ฎ๐š๐ญ๐š๐ณ๐จ (soma Zote ๐Ÿ‘‡๐Ÿพ)โœ”๏ธ Inaokoa maisha kwa kukufanya upate matibabu kwa harakaโœ”๏ธ I...
07/05/2025

๐๐ข๐ฆ๐š ๐ฒ๐š ๐š๐Ÿ๐ฒ๐š ๐ค๐ฎ๐ญ๐จ๐ค๐š ๐ข๐ง๐š๐ค๐ฎ๐ฉ๐š ๐Ÿ๐š๐ข๐๐š ๐ณ๐ข๐Ÿ๐ฎ๐š๐ญ๐š๐ณ๐จ (soma Zote ๐Ÿ‘‡๐Ÿพ)

โœ”๏ธ Inaokoa maisha kwa kukufanya upate matibabu kwa haraka
โœ”๏ธ Inaokoa uchumi kwani hutotumia gharama kwenye matibabu
โœ”๏ธ Utamudu gharama za matibabu
โœ”๏ธ Hudumisha upendo kwenye jamii (Endapo mtu mmoja atamkatia mwenzake)
โœ”๏ธ Matibabu ya uhakika kwenye Hospitali na Vituo vya afya zaidi ya 800 Tanzania
โœ”๏ธ Matibabu nje ya nchi kwa wenye uhitaji
โœ”๏ธ Huduma ya dharula na gari la wagonjwa (Emergency & Ambulance)
โœ”๏ธ Faida za ziada lukuki k**a Punguzo la bei na ofa katika Hoteli, Migahawa, Maduka ,Gym n.k
โœ”๏ธ Matibabu ya Uhakika ya Meno na Macho

๐Ÿ“Location: Tupo Dar es Salaam , Mbezi Beach, Rainbow, Karibu na BOT Flats, Tupigie/Whatsapp #0717909880

๐…๐จ๐ฅ๐ฅ๐จ๐ฐ ๐ฎ๐ฌ ๐ค๐ฐ๐š ๐ˆ๐ง๐Ÿ๐จ๐ซ๐ฆ๐š๐ญ๐ข๐จ๐ง ๐ณ๐š๐ข๐๐ข ๐ฃ๐ฎ๐ฎ ๐ฒ๐š ๐๐ข๐ฆ๐š


Happy Birthday  โ€” Brand Ambassador ambaye amekuwa nguzo ya ubunifu wetu!Tokea tulipoanza safari ya pamoja tarehe 15/07/2...
06/05/2025

Happy Birthday โ€” Brand Ambassador ambaye amekuwa nguzo ya ubunifu wetu!

Tokea tulipoanza safari ya pamoja tarehe 15/07/2021, umekuwa zaidi ya balozi โ€” umekuwa sehemu ya familia ya Dexter.

Kwa ubunifu wako, ucheshi wa kipekee, na njia ya kipekee ya kufikisha ujumbe wa bima, umeifanya chapa ya kuwa karibu zaidi na watu wa kawaida.
Tunakupongeza kwa kazi kubwa, moyo wa kujituma, na ushirikiano wa hali ya juu.

Tunakutakia maisha marefu, afya njema na mafanikio yasiyo na kikomo.
Bado safari ni ndefu โ€” tuendelee kubeba ujumbe wa kwa nguvu mpya!

na #0717909880

Watu wengi hudhani Bima ya Nyumba ni gharama kubwa , lakini je, umewahi kuhesabu gharama ya kuanza upya baada ya janga k...
05/05/2025

Watu wengi hudhani Bima ya Nyumba ni gharama kubwa , lakini je, umewahi kuhesabu gharama ya kuanza upya baada ya janga kutokea ๐Ÿคท๐Ÿพโ€โ™‚๏ธ
๐Ÿ”ฅ Moto, ๐ŸŒŠ mafuriko, ๐ŸŒช๏ธ kimbunga vinaweza kuharibu mali yako ndani ya dakika.
Kwa gharama ndogo , unapata ulinzi mkubwa kwa ๐Ÿก nyumba yako na amani ya moyo.

Usingoje hadi dharura , kata bima leo na ulale kwa amani , Tucheki DM kupata Gharama

Bima si tu kifurushi, ni ulinzi wa maisha yako โ€“ usipitwe na maarifa, follow sasa

#0717909880

โ–ช๏ธ Leo Fanya kuTag Wale wapenda Safari , Wasanii na Wafanya Biashara wote, hii ni yao, Watatushukuru Baadae๐”๐ค๐ข๐ฐ๐š๐ณ๐š ๐ค๐ฎ๐ฌ๐š๐Ÿ...
03/05/2025

โ–ช๏ธ Leo Fanya kuTag Wale wapenda Safari , Wasanii na Wafanya Biashara wote, hii ni yao, Watatushukuru Baadae

๐”๐ค๐ข๐ฐ๐š๐ณ๐š ๐ค๐ฎ๐ฌ๐š๐Ÿ๐ข๐ซ๐ข ๐ค๐ฐ๐ž๐ง๐๐š ๐๐ฃ๐ž ๐˜๐š ๐๐œ๐ก๐ข, ๐ฆ๐š๐ฉ๐ฎ๐ฆ๐ณ๐ข๐ค๐จ๐ง๐ข , ๐ค๐ข๐ค๐š๐ณ๐ข ๐š๐ฎ ๐ก๐š๐ญ๐š ๐ฌ๐ก๐ฎ๐ ๐ก๐ฎ๐ฅ๐ข ๐›๐ข๐ง๐š๐Ÿ๐ฌ๐ข, ๐ฎ๐ฌ๐ข๐š๐œ๐ก๐ž ๐ค๐ฎ๐ฐ๐š๐ณ๐š ๐๐ข๐ฆ๐š ๐ฒ๐š ๐ฌ๐š๐Ÿ๐š๐ซ๐ข, ๐”๐ฌ๐ข๐จ๐ ๐จ๐ฉ๐ž ๐๐ž๐ข ๐ง๐ข ๐ง๐๐จ๐ ๐จ ๐ญ๐ฎ๐ฉ๐ข๐ ๐ข๐ž ๐ฌ๐š๐ฌ๐š #0717909880

Bima Ya safari Itakulinda na majanga yafuatayo ๐Ÿ‘‡๐Ÿพ๐Ÿ‘‡๐Ÿพ
- Gharama za Matibabu
- Kukuhamisha kipindi unaumwa
- Kupoteza mzigo
- Kupoteza passport
- Kuchelewa kwa Ndege
- Kuumia Ukiwa Safarini
- Gharama za kukurudisha Nyumbani

Pata Bima Ya Safari kutoka ili uwe na Amani katika safari zako

โœ”๏ธ Chaguo La Watanzania Wote ๐Ÿฅฐโค๏ธ

๐Ÿ“Location: Tupo Dar es Salaam , Mbezi Beach, Rainbow, Karibu na BOT Flats, Tupigie/Whatsapp #0717909880

๐…๐จ๐ฅ๐ฅ๐จ๐ฐ ๐ฎ๐ฌ ๐ค๐ฐ๐š ๐ˆ๐ง๐Ÿ๐จ๐ซ๐ฆ๐š๐ญ๐ข๐จ๐ง ๐ณ๐š๐ข๐๐ข ๐ฃ๐ฎ๐ฎ ๐ฒ๐š ๐๐ข๐ฆ๐š


Heri ya Siku ya Wafanyakazi!Leo tunawapongeza na kuwashukuru wote wanaojitolea kwa bidii, maarifa, na moyo mkubwa katika...
01/05/2025

Heri ya Siku ya Wafanyakazi!
Leo tunawapongeza na kuwashukuru wote wanaojitolea kwa bidii, maarifa, na moyo mkubwa katika kazi zao kila siku. Kazi yako ni mchango mkubwa kwa maendeleo ya jamii na taifa.

inawatakia siku njema yenye utulivu, heshima, na tafakari juu ya mafanikio yenu.

Elimu ya bima haijawahi kuwa rahisi โ€“ follow  leo na uelimike ๐Ÿ‘‡๐ŸพFAHAMU BIMA KUBWA  INAKULINDA NA MAJANGA YAPIโœ”๏ธBima kubw...
30/04/2025

Elimu ya bima haijawahi kuwa rahisi โ€“ follow leo na uelimike ๐Ÿ‘‡๐Ÿพ

FAHAMU BIMA KUBWA INAKULINDA NA MAJANGA YAPI

โœ”๏ธBima kubwa Inakulinda na Majanga Yafuatayo:
1. Ajali yoyote inayotokea main Road na kwenye Parking
2. Ajali zinazotokana na Majanga ya Asili (natural Disasters) mfano mti / Ukuta kuangukia chombo chako
3. Ajali za moto
4. Tetemeko la Aridhi
5. mafuriko
6. wizi wa chombo chako , pia na wizi wa vifaa kutoka kwenye chombo chako (ambao ndo tishio kwa sasa Dar )
7. thirdparty liabilities zozote, k**a Kumgonga Mtemba kwa miguu, kusababisha Kifo, kusababisha Hasara za Mali ya mtu mwingine

#0717909880

 Wanasema, Acha Inyeshe Tujue kunako Vuja, Leo Mtaani Kwako Kukoje ๐Ÿคท๐Ÿพโ€โ™‚๏ธ ๐”๐’๐ˆ๐ƒ๐‡๐€๐‘๐€๐” ๐๐†๐”๐•๐” ๐˜๐€ ๐Œ๐€๐‰๐ˆIwapo Mvua Inanyesha, Fa...
28/04/2025

Wanasema, Acha Inyeshe Tujue kunako Vuja, Leo Mtaani Kwako Kukoje ๐Ÿคท๐Ÿพโ€โ™‚๏ธ

๐”๐’๐ˆ๐ƒ๐‡๐€๐‘๐€๐” ๐๐†๐”๐•๐” ๐˜๐€ ๐Œ๐€๐‰๐ˆ

Iwapo Mvua Inanyesha, Fanya Haya kwa usalama wa Chombo chako ,Linda Maisha yako na ya Watu Wengine.

โœ”๏ธWasha Taa
โœ”๏ธPunguza Mwendo wa chombo
โœ”๏ธWeka Umbali na Chombo cha mbele Yako
โœ”๏ธUsipite Kwenye Njia Yenye Maji Ambayo Ujui Urefu/kina chake
โœ”๏ธ Usipark Chombo Chako Chin Ya mti mkubwa / Ukuta

Mafuriko Hayawezi kuepukika , Ila Maafa Yake Tunaweza Kuyatatua, Chukua Taadhari, Jilinde na Umlinde mwingine ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿซถ๐Ÿพ

๐Ÿ“Location: Tupo Dar es Salaam , Mbezi Beach, Rainbow, Karibu na BOT Flats, Tupigie/Whatsapp #0717909880

na ๐Ÿ‘‡๐Ÿพ

๐…๐จ๐ฅ๐ฅ๐จ๐ฐ ๐ฎ๐ฌ ๐ค๐ฐ๐š ๐ˆ๐ง๐Ÿ๐จ๐ซ๐ฆ๐š๐ญ๐ข๐จ๐ง ๐ณ๐š๐ข๐๐ข ๐ฃ๐ฎ๐ฎ ๐ฒ๐š ๐๐ข๐ฆ๐š


Muungano wetu si tu wa ardhi mbili, bali wa mioyo inayotafuta umoja, amani na maendeleo. Zanzibar na Tanganyika zikawa T...
26/04/2025

Muungano wetu si tu wa ardhi mbili, bali wa mioyo inayotafuta umoja, amani na maendeleo. Zanzibar na Tanganyika zikawa Taifa moja โ€” Tanzania, ishara ya mshik**ano wa kweli.

๐‡๐„๐‘๐ˆ ๐˜๐€ ๐Œ๐ˆ๐€๐Š๐€ ๐Ÿ”๐Ÿ ๐˜๐€ ๐Œ๐”๐”๐๐†๐€๐๐Ž ๐Ÿค๐Ÿพ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿซถ๐Ÿพ

โœ”๏ธ ๐‡๐š๐ฉ๐ฉ๐ฒ ๐”๐ง๐ข๐จ๐ง ๐ƒ๐š๐ฒ , ๐’๐ก๐ข๐ซ๐ข๐ค๐ข ๐”๐œ๐ก๐š๐ ๐ฎ๐ณ๐ข ๐Œ๐ค๐ฎ๐ฎ ๐ฐ๐š ๐Œ๐ฐ๐š๐ค๐š ๐Ÿ๐ŸŽ๐Ÿ๐Ÿ“ ๐Ÿค๐Ÿพ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
Endelea Kufurahia Huduma Zetu muda wowote popote ulipo Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ๐Ÿซถ๐Ÿพ

#2024 #0717909880

๐…๐จ๐ฅ๐ฅ๐จ๐ฐ ๐ฎ๐ฌ ๐ค๐ฐ๐š ๐ˆ๐ง๐Ÿ๐จ๐ซ๐ฆ๐š๐ญ๐ข๐จ๐ง ๐ณ๐š๐ข๐๐ข ๐ฃ๐ฎ๐ฎ ๐ฒ๐š ๐๐ข๐ฆ๐š


โ€œUngejua mapemaโ€ฆ ๐Ÿ˜ณUngejua ajali inakuja, ungebadilisha njia ๐Ÿคท๐Ÿพโ€โ™‚๏ธSasa unaweza kubadilisha hatima yako kwa kuchukua bima ...
25/04/2025

โ€œUngejua mapemaโ€ฆ ๐Ÿ˜ณ
Ungejua ajali inakuja, ungebadilisha njia ๐Ÿคท๐Ÿพโ€โ™‚๏ธ
Sasa unaweza kubadilisha hatima yako kwa kuchukua bima mapema kutoka

Kata Bima , Jilinde na Uwalinde watumiaji wote wa Barabara.

na #0717909880

Address

Dexter Insurance
Dar Es Salaam
255

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dexter Insurance posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Dexter Insurance:

Share