07/09/2026
Kutoka Mbezi Magufuli hadi Ubungo, ilikua safari ya kusisimua iliyomuhusisha Anita Mama wa mapacha wa nne pamoja na watoto wake mapacha wanne, dada yao pamoja na kaka yao mdogo. Anita alifurahi kusikia kuwa Softcare Tanzania itashirikiana nae bega kwa bega kwenye suala zima la daipa za watoto wake wanne pamoja na wipes za kuwasafishia hadi pale watakapoacha kutumia daipa.