31/05/2026
KIGOMA TUMEKAMILISHA….
Tulifanikiwa kufika Kigoma, halmashauri ya wilaya ya kibondo na kusherehekea maadhimisho ya siku ya hedhi salama dunia, maadhimisho haya yaliongozwa na naibu waziri wa afya Dr Florence Samizi .samizi ambaye ametuamini k**a watengenezaji na wasambazaji wa bidhaa bora za usafi upande wa diapers za watoto, pedi pamoja na wipes.
Sambamba na hilo, tuliweza kuchangia pedi kwa wanafunzi zaidi ya elfu 7 ikiwa ni muendelezo wa dhamira yetu ya kumsitiri mtoto wa k**e na kuhakikisha anaendelea na masomo yake ya kila siku. Tulifanikiwa pia kujumuika pia na kina mama na wadau mbalimbali wa sekta ya afya na elimu kwa kuwapatia vifaa mbalimbali vya usafi k**a vile sabuni na taulo zaidi juu ya watoto
KUMGUSA MTOTO WA K**E NI KULIGUSA TAIFA ZIMA
Softcare~ more care more love