Poti mtata

Poti mtata Vijana wa hovyo

11/12/2025

`USIFANYE KOSA HILI`
_____________________

✓✓Usitoe matumaini kwa mtu k**a hauna
uwezo kwa wakati huo/hauko tayari kumpa pesa yako
(Respond Promptly, Be clear).

✓✓Kuna watu wengi wameingia kwenye mtego wa kutoa
pesa hata pale ambapo wanakuwa wamebakiwa
nazo kidogo kwa sababu ya huruma.

✓✓Kumbuka kuwa, unaweza kuwa na huruma, ila k**a
hauna uwezo wa kuihudumia huruma kipesa,
usijilazimishe.

✓✓Mtu anapokuomba pesa, huwa anatarajia unaweza
kusema NDIO au HAPANA.

✓✓ Ukijijua kuwa uko kwenye
changamoto za kipesa, usimpe mtu matumaini ya
kuwa unaweza kupata na kumpatia baadaye.

Achana na majibu k**a “Ngoja niangalie kwanza”

,
“Tuombe Mungu nitakuchek baadaye”

“Kuna hela
naisubiria, nikipata nitakupatia”.

✓✓Kwa tafiti zangu ndogo ni kuwa, mtu ukishampa jibu
lolote la matumaini, kwanza anaacha kutafuta
kwingine kote na pili anatarajia kuwa lazima utampa,
hii ndio maana lazima atakusumbua tu.

> Ushawahi fanya hili kosa k**a Mimi 🙆??

27/10/2023

Hauwezi kufanikisha jambo jema kwa siku moja, lakini ukikata tamaa, hutoweza kufanikisha kabisa

18/11/2022
Ina ukweli hii?
19/09/2022

Ina ukweli hii?

Address

Arusha

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Poti mtata posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category