Airpay tanzania

Airpay tanzania Providing a robust omnichannel platform that enables every touch point and instrument

Happy Union Day.
26/04/2025

Happy Union Day.

Sending Easter blessings your way, may you experience joy, peace, and a fresh sense of purpose this season.
20/04/2025

Sending Easter blessings your way, may you experience joy, peace, and a fresh sense of purpose this season.

Reflect, renew, and rejoice. Wishing you a blessed Good Friday.  
18/04/2025

Reflect, renew, and rejoice. Wishing you a blessed Good Friday.

 

Kampuni ya Airpay Tanzania inapenda kuwatakia Waislamu na Watanzania wote Heri ya Sikukuu ya Eid El Fitr. Eid Mubarak   ...
31/03/2025

Kampuni ya Airpay Tanzania inapenda kuwatakia Waislamu na Watanzania wote Heri ya Sikukuu ya Eid El Fitr. Eid Mubarak

FinancialInclusion

27/03/2025
Kampuni ya Airpay Tanzania inaungana na wanawake wote duniani katika kusherehekea Siku ya Wanawake Duniani. Leo tunasher...
08/03/2025

Kampuni ya Airpay Tanzania inaungana na wanawake wote duniani katika kusherehekea Siku ya Wanawake Duniani. Leo tunasherekea sio tu mafanikio bali michango yenu ya kila siku. Uvumilivu na upendo wenu ndivyo vinavyoumba Dunia bora.

? ?

Airpay yakabidhi  Vishkwambi zitakavyotumiwa na ZEEA katika usajili, uombaji mikopo kidijitaliKAMPUNI ya Airpay imekabid...
03/03/2025

Airpay yakabidhi Vishkwambi zitakavyotumiwa na ZEEA katika usajili, uombaji mikopo kidijitali

KAMPUNI ya Airpay imekabidhi vishkwambi kwa Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (ZEEA) ili viweze kutumika katika usajili na uombaji wa mikopo kwa njia ya kidijitali.

Airpay na ZEEA kwa kushirikiana na taasisi nyingine za kifedha imetengeneza mfumo wenye lengo la kuwarahisishia wajasiriamali wa Zanzibar kupata mikopo kidijitali hivyo uwepo wa vishkwambi hivyo vitarahisisha shughuli hiyo.

Mwanzilishi na Mkurugenzi wa Airpay, Kunal Jhunjhunwala ndiye aliyekabidhi vishkwambi hiyo kwa Mkurugenzi Mtendaji wa ZEEA, Juma Burhan ambaye pamoja na timu yake ikiwemo Mamlaka ya Serikali Mtandao Zanzibar (eGAZ) imefanya ziara ya siku tatu nchini India ili kujionea uwezo wa mifumo hiyo ya kidijitali ya Airpay inavyofanyakazi.

Akizungumza mara baada ya kukabidhiwa kwa vishkwambi hivyo , Mkurugenzi Mtendaji wa Airpay Tanzania, Yasmin Chali amesema lengo la kutoa vitendea kazi hivyo zikatumike katika kurahisisha usajili, utoaji mikopo kidijitali na kusaidia kuwafikia wajasiriamali wengi kwa urahisi.

“Tunaamini kupitia vishkwambi hivi itarahisisha watu wengi kufikiwa kwa urahisi, tunaomba wajasiriamali wenye vigezo wasisite kujitokeza kufanya maombi ya mikopo kwa njia ya kidijitali,” amesema Chali

Naye Burhan amesema anaishukuru Kampuni ya Airpay kuwapatia vishkwambi hivyo ambavyo ameahidi kuwa vitapelekwa kwenye mabaraza ya miji na halmashauri zote za Unguja na Pemba.

Amesema mikopo ya kidijitali ni mkombozi kwa wajasiriamali hivyo amewataka kuendelea kujitokeza kwa wingi kuomba ili waweze kujikwamua Kiuchumi.

“Tunaishukuru Airpay kwa kutoa vishkwambi, tutaendelea kufanyakazi kwa ukaribu na kutoa ushirikiano utakaohitajika,” amesema Mohamed

Gavana Benki Kuu akoshwa ushirikiano wa ZEEA na Airpay kuwafikia wakopajiGAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Emmanuel ...
31/01/2025

Gavana Benki Kuu akoshwa ushirikiano wa ZEEA na Airpay kuwafikia wakopaji

GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Emmanuel Tutuba amependa ushirikiano unaofanywa baina ya Kampuni Airpay Tanzania na Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar (ZEEA) katika kuwafanya wananchi kurejesha mikopo ya bila riba inayotolewa na Serikali ya Zanzibar.

Ushirika huo wa ZEEA na Airpay ambayo ni Kampuni yenye lengo la kurahisisha mifumo ya malipo ya kifedha kidijitali kwa watu wa kawaida Wafanyabiasha na wajasiliamali wadogo wadogo inaelezwa kuwa utasaidia wakopaji kurejesha na kukopa fedha kwa wakati.

Gavana Tutuba ameyasema hayo leo Jijini Dar es Salaam wakati wa kikao kazi kilichowakutanisha BoT, ZEEA, Airpay pamoja na wadau mbalimbali kutoka Taasisi za kibenki ambazo ni Benki ya Taifa ya Biashara (TCB), Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) na mitandao ya simu ambayo ni Airtel, Mix by Yas, MPesa, Duns and Bradstreet na Creditlnfo.

Alisema amefurahi kuona ZEEA wanashirikiana na Airpay katika kuleta mfumo wa kidijitali ili kusaidia namna nzuri ya kuwafanya wakopaji kurejesha fedha zinazotolewa na serikali bila riba ili ziweze kusaidia wananchi wengine na kwamba imani yake mfumo huo utasaidia urejeshwaji wa pesa hizo.

Naye Mihayo Wilmore kiongozi upande wa Mifumo kutoka Airpay Tanzania alisema kitu wanachotaka kukifanya ni kuweza kuhakikisha mteja hapati usumbufu katika urejeshaji.

"Mtumiaji anaweza kwenda kwa wakala yoyote kulipa bila usumbufu wowote changamoto ni mkopo unaochukuliwa na kushindwa kurejeshwa unakuwa mkopo chechefu sasa tumekuja kuomba Benki Kuu ya Tanzania ituruhusu kuchukua asilimia 33 ya kile ambacho kipo kwenye simu ya mteja ili aweze kurejesha kidogo kidogo k**a ulikuwa na sh 10,000 tutachukua sh 3,000 kukupunguzia deni lako la sh 100,000,"alisema.

Juma Burhan Mohamed Mkurugenzi Mtendaji ZEEA alisema, wao k**a wakala wa uwezeshaji wananchi kiuchumi washatoa mikopo yenye thamani ya sh Bilioni 34.9 ambao umewafikia wanawake 14,000 na wanaume 9,000.

"Utoaji unakwenda vizuri kuanzia 2022 hadi 2024 lakini hili la mtandaoni ni jambo zuri maana mambo yako huko kwa sasa tumeona kuna haja ya kukaa pamoja na kuweza kuona sisi k**a wakala kwa kushirikiana na t

We wish a Merry Christmas 🎄✨
25/12/2024

We wish a Merry Christmas 🎄✨

Happy Independence Day
09/12/2024

Happy Independence Day

Wishing a very warm and wonderful Diwali to our customers who are like our family. May you have a blessed year ahead ful...
31/10/2024

Wishing a very warm and wonderful Diwali to our customers who are like our family. May you have a blessed year ahead full of celebrations, happiness and prosperity.
!

Happy Nyerere Day “Kujielimisha ni kutafuta ukweli wa mambo.Elim ya ukweli ni ujuzi wa sababu za mambo mbalimbali; k**a ...
14/10/2024

Happy Nyerere Day

“Kujielimisha ni kutafuta ukweli wa mambo.
Elim ya ukweli ni ujuzi wa sababu za mambo mbalimbali; k**a mambo ni mabaya ni kujua jinsi ya kuyaondo na k**a ni mema ni kujua jinsi ya kuyadumisha” Mwl. Julius Kambarage Nyerere

Address

2nd Floor Muzammil Center, Mlandege Road
Unguja

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Airpay tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Airpay tanzania:

Share