26/02/2026
: Jana tarehe 25/02/2026 Watendaji wa chama cha Ng'ambo Saccos Ltd wamepata Seminar ya udhibiti ya dhamana za vyombo vya moto na matumizi ya mfumo mpya wa IDRAS kutoka Maafisa Mahusiano kutoka TRA Kilimanjaro.
Semina hii muhimu imehudhuriwa pia na Manager wa chama na mjumbe wa bodi ya chama cha Ng'ambo Saccos!
TRA k**a wadau wetu katika kutekeleza majukumu yetu, wamewaasa watendaji kihakikisha dhamana za vyombo vya moto zinazowekwa na wakopaji zinazingatia taratibu zote za kisheria wakati wa dhamana ili kupunguza migogoro katika jamii na kuongeza ufanisi katika utendaji wetu wa kazi.
______________________________________
NG'AMBO SACCOS LTD
๐ค๐ชfederation