New Excellent Business Centre

New Excellent Business Centre Business consultancy as Agents of various organization and companies, Micro Loans, IT experts and general ICT services, and success Coaches

12/09/2023

Purslane in your garden: 8 reasons not to kill it... Read full article in the first comment ๐Ÿ‘‡

12/09/2023

SIKU ZA MWISHO ZA UHAI WA CRISDA RODRIGUEZ KITANDANI

Kabla ya kufariki dunia akiwa na umri wa miaka 40 kutokana na kuugua maradhi ya saratani ya tumbo, mbunifu na mwandishi maarufu duniani Mrembo Crisda Rodrรญguez aliandika maneno haya akiwa kitandani na kuyahifadhi kwenye diary yake ndogo:

1. Nilikuwa na gari la gharama kubwa zaidi duniani katika karakana yangu lakini sasa inabidi nitumie kiti cha magurudumu.

2. Nyumba yangu inauza kila aina ya nguo zenye chapa, viatu, na vitu vya thamani, lakini sasa mwili wangu umefungwa kwa kitambaa kidogo nilichopewa na hospitali.

3. Nina pesa nyingi benki. Lakini sasa sinufaiki na kiasi hiki.

4. Nyumba yangu ilikuwa k**a ngome lakini sasa ninalala katika vitanda viwili hospitalini.

5. Kutoka hoteli ya nyota tano hadi hoteli ya almasi. Lakini sasa hivi mimi hutumia muda katika hospitali kuhama kutoka maabara moja hadi nyingine

6. Nimetoa saini za mamia ya watu lakini safari hii kumbukumbu za matibabu ni sahihi yangu.

7. Nimekuwa na vinyozi saba wa kurekebisha nywele zangu, lakini sasa - sina hata unywele mmoja kichwani mwangu.

8. Kwenye ndege ya kibinafsi, naweza kuruka popote, lakini sasa ninahitaji usaidizi wawili ili kutembea hadi lango la hospitali.

9. Ingawa kuna vyakula vingi, sasa mlo wangu ni vidonge viwili kwa siku na matone machache ya maji ya chumvi usiku.

10. Hii nyumba, gari hili, ndege hii, samani hii, benki hii, sifa na umaarufu kupita kiasi, hakuna hata kimoja chenye manufaa kwangu. Hakuna kati ya haya kitakachonipumzisha. "Hakuna kitu halisi isipokuwa kifo."

Mwisho wa siku, utajiri mkubwa zaidi kwenye maisha ya binadamu ni afya njema yake.

K**a umejaaliwa kuwa na afya njema japo kwa kiasi kidogo, furahia maisha yako kwa hata kwa chochote kidogo ulichonacho. Kuna watu wanatamani kuinunua afya yako kwa gharama yeyote ile k**a ingewezekana, kwa sababu kwa tafsiri sahihi kwako dhidi ya wewe unayemiliki furaha itokanayo na afya yako, wewe ni tajiri mno

10/07/2023

Ten (10) reasons why you never give up๐Ÿ‘‡

1. As long as you are alive, anything is possible. The only valid excuse you have to give up is if you are dead. As long as you are alive (and healthy and free) you have the choice to keep trying until you finally succeed.

2. Be realistic. The chance of mastering something the first time you do it is almost non-existent. Everything takes time to learn and you will make mistakes. Learn from them.

3. Be Strong Like Oak

Believe me, you are stronger than you think. 1,2 or even 3 little failures are not enough to stop you from achieving your goals. Your goals are far greater than all of the doubts. Imagine a little oak tree. Did it stop growing every time it was facing harsh winds? NO. So why should you stop? You are alive, arenโ€™t you? So you have no good reason to give up. Period.

Success will never be a big step in the future, success is a small step taken just now.

4. Prove yourself. You donโ€™t want to be known as someone that is weak and gives up. Go out there and prove yourself to the world and to yourself. You CAN and WILL achieve what you set out to do. The only time you fail is when you give up.

5. Believe in your dreams. Donโ€™t sell yourself short. In life there are going to be many people who will try to bring you down and tell you what you want to achieve is not possible.

6. Your family and friends. Let the people you love and who mean the world to you be your inspiration to persist and persevere. Maybe you need to try a different angle, study more or practice more but donโ€™t give up!

7. There are people worse-off. Right now there are many people who are in a worse situation and environment than you are. Are you thinking about giving up running 5 miles a week? Think about the people who are unable to even walk and how much they would give to be able to run 5 miles every day.

8. You deserve to be happy. Donโ€™t ever let anybody tell you otherwise. You deserve to be happy and you deserve to have success. Keep that mindset and never give up until you reach your destination!

9. Inspire others. Be an inspiration to others by refusing to give up. Who knows what someone else can achieve because you never gave up and in turn inspired them not to give up.

10. You are so close. Often when you feel like you want to give up you are so close to making a huge breakthrough. You are just a heartbeat away from success.

Keep following

10/07/2023

THE 3 TYPES OF PEOPLE IN YOUR LIFE..

1. The Leaf people
2. The Branch people
3. The Root people

LEAF PEOPLE:
These are people who come into your life just for a season. You can't depend on them because they are weak. They only come to take what they want, but if the wind comes they will leave.
You need to be careful of these people because they love you when things are okay, but when the wind comes they will leave you ๐Ÿฅบ

BRANCH PEOPLE:
They are strong, but you need to be careful with them too. They break away when life becomes tough and they can't handle too much weight. They may stay with you in some seasons, but they will go when it becomes harder ๐Ÿ˜ข

ROOT PEOPLE: These people are very important because they don't do things to be seen. They are supportive even if you go through a difficult time they will water you and they are not moved by your position they just love you like that ...

It's not all people you meet or are your friends, that will stay with you.
Only the root type of people will stay no matter the season ๐Ÿ‘โ˜บ๏ธ

The best way to win your husband's heart, number 7 works works like magic ๐Ÿ‘‡

https://bakingandfashion01.blogspot.com/2023/06/how-to-win-your-husbands-heart.html

Copied

10/07/2023

BE CAREFUL OF THESE PEOPLE, THEY WILL CHANGE YOUR LIFE...!!!

THE WRONG PEOPLE...

Never move with people who despise you.

Never move with people who do not value your person.

Never move with people who never see your quota in the bargain.

Never move with people whose target is their aim alone.

Never move with people who are always waiting for you to make your next mistake.

Never move with people who are ready to trample dowm on you when you fall.

Never move with people who see nothing good about you, no matter how hard you try.

Never move with people who never want to celebrate your little progress.

THOSE WHO LOVE YOU...

Move in the company of people, who are chasing the same vision as you.
People who have the same values as you.

People who believe in the grace of God upon your life.

People who believe in God's several abilities deposited in you.

People who bring out the best in you.
People who feel your pain in your down town.

People who challenge you to do better.

People who genuinely love you.

People who are open to you.

People who will see your mistakes and genuinely want to help you.

People who will genuinely help you up, even when you fall.

AFTER ALL IS SAID & DONE...

Being in the right company of people can be the defining factor that changes how far you can go in life.

THINK ABOUT IT!!!


Enock Alumasi Makanga

10/07/2023

๐Ÿญ๐Ÿฐ ๐—ฃ๐˜€๐˜†๐—ฐ๐—ต๐—ผ๐—น๐—ผ๐—ด๐˜† ๐—›๐—ฎ๐—ฐ๐—ธ๐˜€ ๐—ฌ๐—ผ๐˜‚ ๐—ฆ๐—ต๐—ผ๐˜‚๐—น๐—ฑ ๐—ž๐—ป๐—ผ๐˜„ ๐—ง๐—ผ ๐—–๐—ผ๐—ป๐˜๐—ฟ๐—ผ๐—น ๐—”๐—ป๐˜† ๐—ฆ๐—ถ๐˜๐˜‚๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ผ๐—ป.

1. When someone answers your questions partially. Wait. Don't interrupt.

Chances are high that they will complete the answer when you say nothing

2. When you want to get something from someone, frame it as an offer/opportunity instead of a request.

Anyone will be ready to accept an offer/opportunity.

3. When you meet people, notice their eye color while you smile at them.

Don't mention anything about it. It's a good way to make sure that you really look them in the eyes.

4. A person's name is the sweetest sound in the world to that person.

To make a person feel very special, remember and repeat their name.

5. Have zero expectations when you are first trying something new, it prevents disappointment.

6. To judge a person's character, notice the way they treat people - who can't do anything for them.

7. After you state your position in a negotiation.

Wait for a while. If you continue to speak, you are not speaking in your favor.

8. Chewing gum while doing nerve-racking things calm your brain.

It somehow gets your brain to calm down.

9. When you are learning something, teach someone about it.

You will remember it easily and explore more in the process of teaching.

10. Most people's favorite subject to talk about is themselves.

If you don't know what to talk about, or have awkward silence, just ask them questions.

11. Emotional expression causes emotion.

If you force yourself to smile, your mood will actually improve.

12. Stand up straight. It makes you look more confident and you will actually feel more confident.

13. With kids, frame things in a way that always gives them a choice. It makes them feel like they are in control.

For eg., "Do you want to wear red shirt or blue shirt? "

Either way, they know it's time to put on a shirt.

14. When asking for favours use the world "because". No matter how simple the reason.

The word "because" makes them think it must be okay because there is a reason.

hbd mkurugenzi mung akujalie utu na aman
04/09/2020

hbd mkurugenzi mung akujalie utu na aman

12/03/2020

NAMNA YA KUBADILI TABIA ZAKO KUELEKEA MAFANIKIO!!

K**a una njiti ya kiberiti na ukaipitisha pole pole(gently) kwenye kibox cha kiberiti njiti inaweza isiwake, ukitaka njiti iwake inabidi utumie nguvu kidogo kupitisha hiyo njiti kwenye ganda la kiberiti.

Hiyo nguvu utakayoitumia ili njiti ya kiberiti iwake inaitwa "Activation Energy"

Activation Energy- The minimum Energy for a chemical reaction to take place.

Kubadili tabia nako kunahitaji Activation Energy, ukijalibu kubadili tabia below the minimum Energy lazima utakutana na ugumu na kurudi kwenye tabia yako ya zamani.

Kwenye kubadili tabia unahitaji "The minimum Energy to start new habit" kuna kiwango fulani cha "Effort" utahitaji kukiweka mwanzoni, kuna kiwango cha bidii mwanzoni utahitaji kuwa nacho ili uweze ku take off kutoka tabia moja kwenda nyingine.

Kwa kadiri tabia inavyokuwa ngumu zaidi ndivyo utahitaji higher activation Energy.

Kutimiza Lengo pia unahitaji Activation Energy, tofauti kati yako wewe na lengo lako kutimia ni sawa sawa na utofauti kati ya ground floor na ghorofa ya tano huko.

Unahitaji bidii ili kutimiza lengo lako, na siyo tu bidii, kuna the minimum Energy(activation Energy) inatakiwa.

Swali kubwa la kujiuliza, hiyo bidii unayoiweka kubadili tabia yako, au kutimiza lengo lako imefika viwango vya Activation Energy? Au una papasa papasa tu njiti ya kiberiti kwenye ganda la kiberiti, moto hautawaka.

Ndiyo maana kuna watu wengi wanajaribu kubadili tabia, au kutimiza lengo fulani lakini lakini wanashindwa.

AMSHA SIMBA ALIYE NDANI YAKO!!

Tunakupa majibu ya maswali yasiyo jibika kwa haraka, kirahisi na kuzima hofu yako kwenye maisha yako kila siku kupitia h...
30/08/2019

Tunakupa majibu ya maswali yasiyo jibika kwa haraka, kirahisi na kuzima hofu yako kwenye maisha yako kila siku kupitia huduma zetu. Kwani huduma zetu zina majibu yako!!!

Leo tunakupa sehemu ya majibu yako, Unawaza kupokea au kutuma pesa kutoka/kwenda nje ya nchi unapata tabu!?

Karibu sana kwa sasa tunatoa huduma za mihamala ya kifedha kimataifa kupitia
MONEY GRAM NA WESTERN UNION!

POKEA NA TUMA PESA NJE YA NCHI KWA WAKATI SASA!

Furaha yetu ni pale huduma zetu zinakupa majibu ya maswali yako na kuondoa hofu yote.

Karibu tukuhudumie!

22/08/2019

Jipatie mashine ya kuhesabia pesa yenye Gharama nafuu kabisa!
Piga!
0716123400
0788450500
0763501455
0621060014

21/08/2019

Nina ona unahangaika sana kuhesabu na kukagua pesa za wateja k**a sio wewe ni jirani yako, k**a sio jirani, ni rafiki yako sasa mwambie AACHE/UACHE KUTUMIA MATE NA MIKONO kwani sasa tumekuletea MONEY COUNTING MACHINE (MASHINE YA KUHESABIA PESA) yenye gharama nafuu kabisa inayo endana na kipato chako ina sifa zifuatazo kwa ufupi;
1. Hutambua pesa bandia
2. Hutambua pesa Butu
3. Huhesabu pesa haraka
4. Ina raba ambazo ni imara na hudumu sana
5. Ni rahisi kutumia kwa mtu yoyote
6. Hutumia umeme kidogo
7. Huhesabu pesa za mataifa mengi (mulitcurrency)
8. Ni imara sana kuliko mashine zote
9. Hahitaji matangezo k**a zingine zilivyo
10. Ni nyepesi na rahisi kuibeba wala haichukui nafasi kubwa!
11. Ni magnetic na Ultraviolet (hujua pesa zenye utata)

Address

P. O. BOX MKURANGA
Mkuranga
22

Telephone

+255716123400

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when New Excellent Business Centre posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to New Excellent Business Centre:

Share