Aggrey Nyakiha

Aggrey Nyakiha NYAKIHA VIDEO PRODUCTION
Tunarekodi video za Aina zote,Makala Maalum,Filam,Harusi,,±255 782 332 280

14/05/2026
07/05/2026


Waziri
——
Je unajua sim ya button na switch ya umeme vinaweza kusababisha moto wa gas,
Fatana na SGT Mwanaisha akielezea kinaga ubaga

29/04/2026

📸 Book Me Now
• Wedding
• SendOff Doqmentar
• Coorperates Events

☎️ Call/Whatssap +255 782 332 280

Ready To Travel !!


Frola 🎂🎁🎉❤️

27/09/2025
Zaburi 107:1Mshukuruni BWANA Kwa Kuwa Ni mwema Kwa Maana Fadhili Zake Ni Za Milele ....Happy New Year to Me...
02/01/2024

Zaburi 107:1

Mshukuruni BWANA Kwa Kuwa Ni mwema Kwa Maana Fadhili Zake Ni Za Milele ....

Happy New Year to Me...

kutoka kwa kakayetu mi napenda kukuita Kaka wa taifa Mr  ""Tuombe uhai tu na majaaliwa ila sinaga jambo dogo, Milima na ...
29/12/2023

kutoka kwa kakayetu mi napenda kukuita Kaka wa taifa Mr ""Tuombe uhai tu na majaaliwa ila sinaga jambo dogo, Milima na Mabonde pamoja na kila Kiumbe hai ndani ya Taifa hili zuri litajua nini kinafanyika siku hiyo.

Vifurushi vya King’amuzi vitanunuliwa kwa wingi katika Siku hiyo, nchi nzima itakuwa live kushuhudia fungua mwaka, huku kwa wiki nzima kabla kukiwa na foleni ya matukio makubwa ya kusindikiza 18/01/2024

Nitaalika pia baadhi ya followers wangu kwa utaratibu maalum utakaotangazwa, na nikiona Vp naweza kufanyia kwa Mkapa tu.""

❤️

Save the date 18/01/2024






Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) ameshiriki katika Mkutano wa Mawaziri wa Fedha na Mawaziri wa ...
15/11/2023

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) ameshiriki katika Mkutano wa Mawaziri wa Fedha na Mawaziri wa masuala ya Jinsia barani Afrika uliofanyika katika ukumbi wa Johari Rotana jijini Dar es Salaam leo Novemba 15,2023.

Mgeni rasmi wa Mkutano huo alikua ni
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.

*KARIBU SHINYANGA BUSINESS FORUM| 24-26 NOVEMBER  2023*------------------------------------------------------✅Faida yake...
15/11/2023

*KARIBU SHINYANGA BUSINESS FORUM| 24-26 NOVEMBER 2023*
------------------------------------------------------
✅Faida yake ni Mijadala Juu ya ufanikishaji na uendeshaji biashara. Njoo upate Dondoo za *OSHA, BRELLA, NEMC, TBS, GPSA, TRA, WIMA, PPRA, TFDA, NSSF, TANEPS.*

✅ Onana Uso kwa Uso na waziri wa Viwanda na Biashara, Waziri wa Uwekezaji, Waziri wa Madini. Pamoja na Usajiri wa Kampuni na udhabuni utafanywa na *BRELA, NEST-PPRA.*
✅Muunganiko na wafanyabiashara wakubwa nchini wamiliki wa Viwanda
✅Utakutana na wachimbaji Madini, Wachenjuaji, wapimaji wa ardhi yenye Madini na wauzaji wa Chemical.
✅ Wakulima wenye Mafanikio Makubwa yenye tija.

*➡️ *KUSHIRIKI* ............................
🔄MEZA 50,000 Kwa Mjasiliamari Mdogo
🔄BANDA 300,000 Kwa Mjasiliamali Mkubwa
🔄 CATEGORY SILVER 500,000
🔄 CATEGORY GOLD 3,000,000

✅Utapata
👉Konekisheni
👉Usuli
👉Kampuni
👉Maarifa
👉Marafiki

*Piga 0759 436 625 na 0767 254 201. Karibu SHINYANGA BUSINESS FORUM. tunazungumza kuhusu biashara.*

Haya Wanawake wamesema wana Jambo Lao Arusha 🇹🇿👍🏽👍🏽👍🏽👍🏽 Tar 17 November,,,
12/11/2023

Haya Wanawake wamesema wana Jambo Lao Arusha 🇹🇿👍🏽👍🏽👍🏽👍🏽 Tar 17 November,,,

TUCHANGIE WAGONJWA WA FIGO by PROFESSOR JAY FOUNDATION.Acc No: 015C782308500 Jina: PROFESSOR JAY FOUNDATIONBank: CRDB BA...
10/11/2023

TUCHANGIE WAGONJWA WA FIGO by PROFESSOR JAY FOUNDATION.

Acc No: 015C782308500
Jina: PROFESSOR JAY FOUNDATION
Bank: CRDB BANK

tiGO LIPA NAMBA: 9842464
Jina: JAY ANAKUZIMIA
_________________________
AUDIO: by feat. Walter Chilambo - https://youtu.be/zzk-ydtCMuQ?si=WRKCB5kAAA7O33df

SERIKALI YATOA UFAFANUZI WA MIFUGO ILIYOKAMATWA SERENGETINa Happiness Shayo- DodomaWaziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. A...
09/11/2023

SERIKALI YATOA UFAFANUZI WA MIFUGO ILIYOKAMATWA SERENGETI

Na Happiness Shayo- Dodoma

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) amesema kuwa suala linalohusisha ng'ombe 806, kondoo 420 na mbuzi 100 waliok**atwa Serengeti na kupigwa mnada baada ya Mahak**a ya Musoma kutoa hukumu, limeshahitimishwa kimahak**a baada ya taratibu zote kukamilika.

Waziri Kairuki ameyasema hayo leo Novemba 9,2023 Bungeni jijini Dodoma alipokuwa akijibu hoja ya Mbunge wa Ngorongoro, Mhe. Emmanuel Ole Shangai aliyeilalamikia Serikali kuhusu mifugo hiyo iliyok**atwa na Askari wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) katika eneo la Mugumu Serengeti na kupelekwa mahak**ani kisha kupigwa mnada.

“Ni suala ambalo limehitimishwa mahak**ani kupitia kesi ya jinai namba 10 ya mwaka 2023 kwa kuingiza mifugo hifadhini isivyo halali na tayari hukumu ilitolewa, na tarehe 1 Novemba 2023 ilielekezwa dalali wa mahak**a ateuliwe kwa ajili ya kupiga mnada wa hadhara kwa kufuata taratibu k**a ambavyo sheria yetu ya wanyamapori ya mwaka 2009 lakini vilevile sheria yetu zinazosimamia Hifadhi za Taifa zinavyoelekeza ” Mhe. Kairuki amesisitiza.

Amesema, kufuatia mnada huo kutokana na hukumu iliyotolewa na Mahak**a Kuu ya Musoma zilipatikana fedha kiasi cha shilingi milioni 169,264.

Aidha, ameongeza kuwa lengo la Serikali kwa mujibu wa Ibara ya 27 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na sheria ambazo zimewekwa ni kuendelea kulinda hifadhi za Taifa pamoja, maliasili na uoto wa asili uliomo ikiwa ni pamoja na wanyama na viumbe vingine vilivyoko katika maeneo yaliyohifadhiwa

Kufuatia ufafanuzi huo, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson ameipa Serikali muda wa kuliangalia upya suala hilo.

Address

Lamadi, Simiyu, Tanzania
Mkula

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Aggrey Nyakiha posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share