13/03/2021
Watanzania wenzangu,mungu ametupa zawadi ya pekee Sana . Tumepata kiongozi ambae hayumbishwi na matukio, wapo baadhi ya watu ambao wanatumika na mabeberu kumtingisha rais wetu Dr. Magufuli lakini kwa vile yeye yupo kwa mpango was mungu ametulia tuliii ,kana kwamba haoni kinachoendelea mitandaoni,Kama Kuna kitu ambacho namshukuru mungu ni pamoja na kunifikisha , kumshuhudia mteule wake JPM ,, watanzania tumuunge mkono tusiyumbishwe na vibaraka wa mabeberu