Tuunge mkono jitihada za rais John Pombe Magufuli

Tuunge mkono jitihada za rais John Pombe Magufuli Hongera Dr. MAGUFULI kwa kujitoha mhanga kwaajiri ya walalahoi mimi pamoja na watanzania wenye mapen

Kulingana na kujitoa alikojitoa rais wete Magufuli kwa kupambana na mafisadi na wahuju uchu ni dhahiri kwamba wenge hasa wenye tabia tajwa hapo juu, watataka kukatisha safari hii yaukombozi wakweli.Kwahiyo basi watanzania wenzangu tumwunge mkono rais wetu kwa kuwafichua wale wote ambao wenye mtazamo tofauti na ukombozi wawanyonge.kwakumwombea mtumbua majipu na kutoa taarifa punde uonapo mtu anaomb

a au kupokea rushwa, kumzungumzia vibaya mpendwa wetu, au kumiliki mali ambazo zina walakini.kwakufanya hayo tutafanikisha kuitengeneza Tanzania yenye maendeleo ya kweli.MUNGU ibariki Tanzania MUNGU m bariki MTUMBUA MAJIPU Amen

Watanzania wenzangu,mungu ametupa zawadi ya pekee Sana . Tumepata kiongozi ambae hayumbishwi na matukio, wapo baadhi ya ...
13/03/2021

Watanzania wenzangu,mungu ametupa zawadi ya pekee Sana . Tumepata kiongozi ambae hayumbishwi na matukio, wapo baadhi ya watu ambao wanatumika na mabeberu kumtingisha rais wetu Dr. Magufuli lakini kwa vile yeye yupo kwa mpango was mungu ametulia tuliii ,kana kwamba haoni kinachoendelea mitandaoni,Kama Kuna kitu ambacho namshukuru mungu ni pamoja na kunifikisha , kumshuhudia mteule wake JPM ,, watanzania tumuunge mkono tusiyumbishwe na vibaraka wa mabeberu

12/08/2020

Usemi ninaaopenda tumia kwamba :mr.JPM .nimtetezi wawanyonge na mzalendo waukweli walio wengi huchujuli kawaida ila Rais wetu ni zaidi yabinadam. kitendo alichofanya kuwaachilia huru wafungwa .mfano Babu sea na familia yake kumewastaabisha sana kwani watu walishakaata tamaa nakumwachia mungu hatma ya kifungo chake .Mimi namwombea kwa mungu ambaliki na kumlinda milele na milele AMIINA wewe je

16/06/2017

Hii ndio raha yakuwa na kiongozi imara.Najua watanzania wenye mapenz mema na rasilimali zetu hawatapinga hoja hii ,Rais wetu ameitoa nafsi yake kwakutetea na kuborasha ustawi wamabadiliko yakweli mimi namuunga mkono kwa asilimia mia %wewe je k**a ndio like coment share kwa wanaharakati

01/06/2017

Mpambanaji pekee alieibuga ghafla katikati ya mto wamamba ambapo watania walishapoteza matumaini kiroho na namwachia mungu) yaani liwaro na liwe kiukwe mamba walutafuna Kabila shujaa kufika,tena walitafuna kwa uhuru pas gubza.Alipofika Dr .alitulbua vigogo wa T'R'A ,TCRA TAA hakuishia hapa akaenda kwa watumishi hewa na wazembe kazini mfano wizara ya nishati na madini Mungu akupe maisha marefu

09/04/2017
05/02/2017

Serekari yaawamu ya tano imefanikisha kwakiasi kikubwa sana kupunguza mianya ya rushwa, nakuipa kipau mbele milad yamaendeleo yajamiik**a vile ujenz wabarabara,madaraja,ujenzi Wa hospitali shule na kuwa utendaji wake niwauajibishaji amezaa kikosi kazi mfano mh. Kasim majariwa poa
Paul makonda na swaiba wangu mkuu wawilaya yakinondon mh
Juma happy wapambana hedi tone la mwsho La damu kwenye kuhakikisha wafanyakaz wauma wamawajibika

14/04/2016

Katika kutimiza kauri ya rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania ya kuhakisha watu wanapata haki sawa bila kujari wathifa wa mtu au dhamana alio nayo,mahak**a imetoa hukumu ya staka lililomkabiri mbunge wa jimbo la Ubungo Saidi kubenea. baada ya kupatikana na hatia, kwa kosa la kumtorea lugha chafu aliekua mkuu wa wilaya ya kinondo, ambaye sasa na mkuu wa mkoa wa Dar-es -salaam Paul

01/04/2016

Ni marufuku kutukana kutoa lugha za vitisho au taarifa bila ushaidi uliokamilika Tanzania yetu Magufuli wetu kwamabadiliko ya kweli (pambana kukomesha mafisisadi, wavivu kazni,na waropokaji wa mambo yario hatari kwa Mr magufuli na watanzania kwa ujumla)

01/04/2016

Watanzania wenzangu tuunge mkono jitihada za mzerendo, wetu mpendwa wetu, Dr magufuli kwa kufichua mtu yeyote ambaye anatabia ya kuomba rushwa au kupokea, pingine mtu yeyote ambaye anamumgelea mambo mabaya ambayo yanaweza kuhatarisha jitihada za ukombozi wa kweli kwa kupenyeza taarifa kwenye akaunti hii au kutoa taarifa kwenye chombo chochote cha usalama ikiwemo polisi. Ili safari yaukombozi ifike kilele chamafanikio

Address

Kigogo Mkwajuni
Kariakoo

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tuunge mkono jitihada za rais John Pombe Magufuli posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share