TaifaKubwa23 Rise

TaifaKubwa23 Rise History|PoliticsIDevelopmentsILeadershipISocial issues

31/01/2026

KWA NINI IRANI INAPIGWA VITA DHIDI YA MATAIFA YA MAGHARIBI NA NCHI ZA KIARABU?
Jibu lipo hapa...

Turudi nyuma kidogo mpaka mwaka 1979, kipindi hiki ndio Iran ilifanya mapinduzi na kuwa taifa la kufuata itikadi za Kishia.

Wakati mapinduzi yanafanyika Iran Gen Saddam Hussein Al Tikrit alikuwa makamu wa rais wa Iraq na wakati huo Kiongozi wa Iraq alikuwa Gen Al Bakr, Saddam alimpindua Al Bakr 1979.

Mwaka mmoja nyuma...

Mwaka 1978 wanafunzi wa vyuo vikuu vya Teheran waliandamana hali iliyomfanya Mfalme au Shah Muhammed Reza Khan Pahlav kuikimbia nchi na kwenda kuishi Misri ambako Rais wa nchi hiyo Colonel Annuar Al Sadat alimpa hifadhi kwakuwa mke wa Shah alikuwa ni bint mfalme wa mfalme Farouk wa Misri ambaye alipinduliwa na Jeshi chini ya Umoja wa vuguvugu la Free Officers Corps ukiongozwa na Maj Gen Muhammad Negouib na Col Gamal Abdul Nasser.

Shah alipoondoka alikabidhi serikali yake kwa Wazir Mkuu wake Duktoora Shapur Bakhtiar, serikali hii ilikumbana na vikwazo vingi ikiwemo maandamano na migomo hadi pale Ayatollah Khomein aliporudi toka Ufaransa na siku hiyo hiyo kutangaza kuundwa kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

Serikali hizi yani ya Duktoora Shapur Bakhtiar na ya Ayatollah Rohallah Khomein zilipingana hadi pale jeshi la nchi hiyo Pasdaran walipoamua kumuunga mkono Ayatollah Khomein.

Asubuhi yake Wanafunzi kutoka Qum na Teheran waliuvamia ubalozi wa Marekani na kuwashikilia mateka wanadiplomasia wote.

Hichi ndicho kilichomkosesha kura Rais Jimmy Carter wa Marekani na kusababisha kuchakuguliwa kwa Rais Ronald Regan.

Jaribio lililofanywa na Marekani kuwakomboa mateka hao lilishindwa baada ya helicopter mbili zilizobeba makomando wa Marekani kugongana na kuwaka moto katika anga ya Iran.

Baada ya hapo Iran iliwatawanya mateka hao mmoja mmoja katika nchi nzima na kufanya jaribio la kuwaokoa kuwa gumu.

Tujirejeshe Iran Sasa...

Mpaka miaka ya 60 Iran ilikuwa inaitwa Persia au kwa kiswahili Uajemi, Na hii ilitokana na Quraan kuwa Allah SW ameumba makabila mawili tu, Waarabu na wasiokuwa waarabu(au al ajemi).

Waajemi ndio watu waliohamia Ulaya baadae, hata lugha ya kiirani haifanani na kiarabu ingawa inaandikwa kwa alfabeti za kiaarabu, na imo katika orodha ya lugha zinazoitwa indo aryans language.

Kwahiyo...

kwakutambua hili Ilipofika miaka hio baada ya mapinduzi Iran ilibadilisha jina lake kutoka Persia(yani Uajemi) na kuitwa Iran au nchi ya wa Aryans.

Utakumbuka pia Hi**er alisema Ujerumani si wayahudi bali ni wa Aryans akichukulia maandiko ya Biblia kuwa baada ya Cain kumuua Abel alikimbia akaenda katika nchi nyengine na kule akatwaa mke, kwahiyo hao watu aliowakuta hata kutwaa mke ndio wa Aryans.

Katika vita ya Iran dhidi ya Iraq (Gulf war) ambapo nchi hizi mbili zilipigana kutokana na mgogoro wa muda mrefu wa Shat al Arab, Iraq ikiongozwa na Gen Saddam Hussein al Tikrit wakati huo ndio kwanza amechukuwa madaraka akauchukulia uundwaji wa Jamhuri ya kiislamu k**a udhaifu, akaivamia Iran na kuzikalia sehemu zote zenye waarabu za Iran akitaraji kuungwa mkono nao (Iran ina mikoa miwili na visiwa vingi kwenye ghuba ya uajemi ambavyo vinaishi waarabu).

Wakati huo Saddam aliungwa mkono na nchi zote za kiarabu, Israel, Ufaransa na Uingereza ambao hawakupata chochote kutokana utawala mpya wa kiislamu.

Saddam na Saud Arabia ambao wana idadi kubwa ya waislamu wa shia walihofia yaliyotokea Iran kwa mfalme kupinduliwa yasije yakawakuta na wao hivyo wakaona waipige vita Serikali mpya ya Iran ili kuzuia mapinduzi na kwao yasitokee, hapa ndio uadui wa pili kati ya Iran na nchi za kiarabu ulipoanza.

Rise

Call now to connect with business.

31/01/2026

African countries need to learn from Norway
In 1969, Norway discovered one of the largest offshore oil deposits in the world.
The Ekofisk field changed everything. Suddenly, this small Scandinavian nation was sitting on extraordinary wealth. They could have done what most oil-rich countries do: spend it all immediately. Build monuments. Create economic bubbles. Enrich a few while the many suffer. And when the oil runs out, collapse into debt and instability.
Nigeria tried that. Venezuela tried that. Libya tried that.
Norway looked at these cautionary tales and made a different choice.
In 1990, the Norwegian Parliament created the Government Pension Fund Global. The rules were simple but revolutionary. All oil profits would flow into the fund. The fund would invest globally in thousands of companies. And Norway could only withdraw a small percentage each year, originally 4%, now 3%.
The rest would stay invested. Forever.
People thought they were insane.
Why hoard money for people who don't even exist yet? Why not lower taxes, build bigger programs, enjoy the wealth right now?
The Norwegian government had an answer: Because future Norwegians will exist. And they deserve this wealth as much as we do.
In 1996, they deposited the first payment: $150 million.
Then they did something even more remarkable.
They stuck to the plan.
Year after year, oil revenues flowed into the fund. Year after year, the fund invested in global markets, stocks, bonds, real estate across 70 countries. Year after year, politicians resisted the overwhelming temptation to raid the fund for short-term political wins.
Every election cycle brought promises to spend more. Every economic downturn brought demands to tap the fund. Every crisis brought calls to break the rules "just this once."
Norway said no. Every single time.
The fund's managers didn't try to beat the market or gamble on hot stocks. They simply bought small stakes in thousands of companies worldwide, around 9,000 today, and held them.
They played the longest game imaginable.
By 2000, the fund was worth $50 billion. By 2010, it had grown to $500 billion. By 2017, it crossed $1 trillion. Today, it has surpassed $2 trillion.
For a country of just 5.6 million people, that works out to roughly $340,000 per citizen.
But here's the extraordinary part.
More than half of the fund's value didn't come from oil. It came from investment returns. The fund now generates more income from its global investments than Norway makes from selling oil and gas.
They transformed temporary oil wealth into permanent financial wealth.
The fund owns approximately 1.5% of every publicly traded company in the world. It holds stakes in Apple, Microsoft, Amazon, and thousands of other corporations. When you buy almost anything from almost any major company, a tiny fraction flows back to Norway.
The 3% withdrawal rule ensures the fund will last indefinitely. That 3% provides roughly a quarter of Norway's national budget, funding education, healthcare, infrastructure, and pensions without ever depleting the principal.
Norway's oil will eventually run out. Maybe in 30 years, maybe 50. It doesn't matter anymore.
By the time the last barrel is pumped, Norway will have a multi-trillion-dollar fund generating returns forever.
The genius wasn't in discovering oil. Lots of countries found oil.
The genius was in the radical decision to save almost all of it, invest it wisely, and resist every political pressure to spend it immediately.
It required vision to see beyond the next election cycle.
It required discipline to follow the rules for three decades without exception.
It required humility to admit that future Norwegians deserved this wealth as much as current ones.
In 1996, they started with $150 million.
Today, they have over $2 trillion, and growing.
In 50 years, when Norway's oil fields are empty and the rigs are silent, Norwegian children will attend free universities, elderly Norwegians will retire with security, and the entire nation will thrive, all funded by oil that stopped flowing decades earlier.
Because in 1990, Norway made a choice that most countries never make.
Rise

Address

MIKOCHENI B
Dar Es Salaam
PO.BOX.1242DARESSALAM

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when TaifaKubwa23 Rise posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share