Kingupi Investment Group

Kingupi Investment Group TUNAZALISHA NA KUUZA BIDHAA ZA ASILI .

Sabuni hii ya MCHELE ni Sabuni ya kipekee, unapoitumia lazima ilete matokeo mazuri KWA wenye changamoto za Chunusi, vipe...
16/11/2021

Sabuni hii ya MCHELE ni Sabuni ya kipekee, unapoitumia lazima ilete matokeo mazuri KWA wenye changamoto za Chunusi, vipele, ukurutu, madoadoa na wenye muonekano mbaya wa Ngozi. Ngozi inakuwa nyororo na yenye kupendeza. Inafahaa KWA jinsia zote.

Zinapatikana KWA Bei nafuu Sana.

TUNATUMA pia mikoani KWA gharama nafuu Sana.

Wasiliana Nasi KWA whatsapp: 0764013664 , piga: 0659432215 au 0785439315.

PIKI COCONUT OIL, Ni mafuta pekee yaliyotengenezwa yakifanya Kazi zaidi ya 3, yaani kurefusha nyweli na KUZIFANYA kuwa i...
27/06/2021

PIKI COCONUT OIL, Ni mafuta pekee yaliyotengenezwa yakifanya Kazi zaidi ya 3, yaani kurefusha nyweli na KUZIFANYA kuwa imara, Kung'arisha Ngozi Yako na kuifanya kuwa nyororo, Kutibu mafua na kikohozi n.k

Tunauza kwa Bei ya jumla na rejareja.

Wasiliana Nasi KWA : 0764013664 au 0659432215.

Tunawatakia heri wateja wetu wote Eid Mubarak.
13/05/2021

Tunawatakia heri wateja wetu wote Eid Mubarak.

Bidhaa zetu tulizoboresha, Ili kukupa mlaji UNAFUU katika Bei, Ubora zaidi na matokeo ya UHAKIKA kwenye Ngozi Yako, Tuna...
28/04/2021

Bidhaa zetu tulizoboresha, Ili kukupa mlaji UNAFUU katika Bei, Ubora zaidi na matokeo ya UHAKIKA kwenye Ngozi Yako, Tunazo sabuni Tiba za Mchele ndogo, Sabuni Tiba Ukwaju, Sabuni tiba Mwarobaini, Sabuni Tiba Manjano & Alovera.

SIFA zake:
- Zinaondoa Chunusi.
- Zinaondoa harara.
- Zinaondoa madoa doa.
- Zinaondoa mba wa ngozi.
- Zinasaidia Sana KWA wale wote waliotumia vipodozi vyenye viambata vyenye sumu kali.

Bei zake:
- Bei za kiwandani @ tsh 1,000/= tu kuanzia pic 100.

- Bei za kiwandani @ tsh 800/= kuanzia pic 200.

TUNATUMA POPOTE jijini Dar es salaam na mikoani TUNATUMA .

Wasiliana Nasi WHATSAPP: +255 659432215 au +255 764013664.

Piga simu: +255 735013664 au +255 785439315.

PATA UNAFUU WA BEI , UBORA ZAIDI NA MATOKEO YA UHAKIKA.

20/04/2021
Bidhaa zetu bora hii inapatikana KWA Bei ya jumla na rejareja. Wasiliana Nasi Kwa Whatsapp: +255 659432215 au +255 76401...
04/04/2021

Bidhaa zetu bora hii inapatikana KWA Bei ya jumla na rejareja. Wasiliana Nasi Kwa Whatsapp: +255 659432215 au +255 764013664.

Au Piga : +255 735013664 au +255 785439315.

Kwa bidhaa bora ya Mafuta ya N**i + Kitunguu. Karibu ujipatie bidhaa YAKO kwa Bei NAFUU ya jumla na rejareja. Wasiliana ...
30/03/2021

Kwa bidhaa bora ya Mafuta ya N**i + Kitunguu. Karibu ujipatie bidhaa YAKO kwa Bei NAFUU ya jumla na rejareja. Wasiliana Nasi kwa Whatsapp: 0764013664 au 0659432215.

Popote tutakufikia nchini.

😭😭😭
18/03/2021

😭😭😭

FAIDA ZA MAFUTA N**I PIKI MWILINI.1. Mafuta ya n**i kwa afya ya Moyo:Mafuta ya n**i yana asidi mhimu sana kwa afya ya mo...
03/03/2021

FAIDA ZA MAFUTA N**I PIKI MWILINI.

1. Mafuta ya n**i kwa afya ya Moyo:
Mafuta ya n**i yana asidi mhimu sana kwa afya ya moyo iitwayo ‘lauric acid’ ambayo ina uwezo mkubwa kuuweka moyo wako katika hali ya afya na furaha kwa kuidhibiti kolesteroli/lehemu mbaya katika moyo na mwili kwa ujumla. Lauric acid huongeza uwepo wa kolesteroli nzuri mwilini ijulikanayo kwa kitaalamu k**a High Density Lipoprotein (HDL) huku ikiishusha ile kolesteroli mbaya ijulikanayo pia kwa kitaalamu k**a Low Density Lipoprotein (LDL) jambo ambalo ni mhimu kwa afya ya moyo k**a anavyosema Lovisa Nilsson, mtaalamu wa lishe wa Lifesum.

2. Mafuta ya n**i huuongezea nguvu mfumo wa mmeng’enyo wa chakula:
Hii ndiyo moja ya faida ya mafuta ya n**i niipendayo zaidi. Ndiyo mafuta ya n**i yanayo uwezo kusaidia kudhibiti uzito uliozidi kwa sababu mafuta haya ni mepesi kumeng’enywa na hayagandi k**a yalivyo mafuta mengine mazito (fatty acids) jambo linalosaidia kuuondoa uzito uliozidi mwilini. Kutokana na kitendo hiki cha kuongeza uwezo wa mwili kukimeng’enya chakula, watu wanaoyatumia mafuta haya kupikia vyakula vyao kila siku kwa kawaida huwa na uzito wa kawaida. Anasema Geeta Sidhu Robb, mtaalamu wa lishe na mwanzilishi wa Nosh Detox.

3. Mafuta ya n**i hung’arisha ngozi:
Siyo sehemu za ndani tu ya mwili zinazofaidika na mafuta haya ya n**i k**a yanavyofanya mafuta mengine ya asili, k**a unataka kuwa na ngozi nzuri yenye mng’aro na yenye afya na yenye muonekano wa asili basi paka mafuta ya n**i kila siku kwenye ngozi yako, mafuta ya n**i yana uwezo mkubwa katika kuua bakteria, virusi, na vijidudu vya aina yeyote vinavyoweza kuidhuru ngozi, haya ni mafuta kwa mwili mzima yaani pakaa kwenye ngozi yote usoni, mwilini, kwenye nywele na kwenye kucha. Pia unaruhusiwa kuyatumia mafuta haya wakati wa masaji.

4. Huongeza nguvu mwilini:
Mafuta ya n**i ni chanzo kizuri cha nguvu ya mwili kwani yana sifa ya kuelea kwa kiasi kidogo kwenye damu ‘medium chain triglycerides .
Wasiliana Nasi WhatsApp: 0659432215 au 0764013664.

NB: 100% pure N**i.

Bidhaa ZETU bora hizi zinapatikana KWA Bei ya Jumla na rejareja. Karibu sana popote ulipo tutakufikia.
26/02/2021

Bidhaa ZETU bora hizi zinapatikana KWA Bei ya Jumla na rejareja. Karibu sana popote ulipo tutakufikia.

Address

Kiwalani
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kingupi Investment Group posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Kingupi Investment Group:

Share